BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,321
- 11,315
Coward of a county
Hata mimi kuna kitu kimenijia kichwani hapa.'..jamaa anachokumbuka mara ya mwisho ali-like post ya Mange..'
uki-bold hiyo sentensi,unapata jibu pia
China si Tanzania. Wachina walijenga viwanda na si majukwaa ya siasa.Upo nyuma ya keyboard yako unaanzisha thread unamalizia hakuna aliye salama?,huwa natamani mkakae North Korea hata dakika 60 ndo mrudi na adabu,tatizo mmezoea kupewa uhuru mpaka kumdhihaki mkuu wa nchi miaka ya nyuma,huyu aliyeingia alishajiandaa isifikie na yeye mkamuita DHAIFU na amefanikiwa kwa 99%,niliwahi kusema ukiondoa wazungu binadamu waliobaki ili wapate maendeleo ni mchaka mchaka,viboko ikibidi hadi risasi.Hiyo China hapo ilipo wamenyongwa wengi na viboko juu ndo maendeleo yamepatikana.Ukicheka na nyani unavua mabua.Fanya mambo yako,ya serikali iachie serikali.
Sawa lakini katika hatua zao kufikia walipo hatua mojawapo ni ku eliminate ma whistle blowers wanaojaribu kuwaondoa watu kwenye mwelekeo.Nenda centers zilizo bize kama kariakoo,buguruni,mbagala etc uone watu walivyo bize na shughuli zao za kujipatia kipato,ukishinda unafanya ubunifu wa kuichokonoa serikali mitandaoni,inakuchokonoa mara 2,fanya yako ya serikali iachie serikali.Kama unadhani unaweza kuibadilisha KILA LA HERI.China si Tanzania. Wachina walijenga viwanda na si majukwaa ya siasa.
Mpaka sasa hivi yamejengwa majukwaa mangapi?China si Tanzania. Wachina walijenga viwanda na si majukwaa ya siasa.
Wewe ni mpuuzi mpaka unatia kinyaawatakuwa wamezamia meli kuelekea mamtoni
kule tumetundika na masura yetu tokea utotoniFacebook si salama kabisa, bora hata ya whatup. unapokuwa facebook kweli kabisa kuwa makini. its free and very openly!!
Acha unaa kuipakazia Serikali ya Magufuli.Sio mpenzi sana wa kuanzisha uzi ila nimelazimika kuandika uzi siku ya Leo.Sababu zilizonisukuma kuandika uzi ni kuhusu chalii mmoja hapa kapagawa baada ya kupigiwa simu na kuambiwa aripoti makao makuu kitengo cha cyber kusaidia upepelezi na kuhojiwa,..jamaa anachokumbuka Mara ya mwisho ali-like post ya Mange mwanzo nilidhani ni matapeli ila hali inaonyesha ni kweli japo jamaa anasema alitoa like tu na hakuna mahala alicomment au kupost ,ila itakua alienda further japo sijui
Siku chache nyuma kuna MTU huku mtaani alimtuhumu rais kuwa ana mkono kwenye tukio la Lissu kilichotokea jamaa kachukuliwa na watu wasiojulikana huku mashuhuda wakishuhudia na watu wamemtafuta vituo vyote vya polisi wamemkosa hawajui atakua wapi na imepita mawiki haijulikani yupo hai,kwenye viroba au kafa.
Hii ni mifano michache ila nina mifano 2 mingine ambayo ni worse haifai kuzungumza ya watu kupotea baada ya kushindwa kuzuia midomo yao.
Ndugu zanguni wana JF ,wananchi nawapendeni sana chungeni midomo yenu na tumieni facebook na Instagram vizuri majamaa wapo active ,msi comment na kupost vitu vya kuwashwa washwa kwenye mitandao ya fb na Instagram kwa manufaa yako na familia yako na pia chunga mdomo wako kwenye hadhira ya watu hata kama unawashwa washwa .
Kama watu wanachukuliwa na kupotea hovyo halafu hawaonekani vituoni wanakwenda wapi ? Watu 2 wamepotea kwa kuisema hovyo régime na mashuhuda wameona wakichukuliwa lkn cha kushanga vituo vyote wametafutwa wamekosekana halafu juzi tunaona watu wamefungwa vitambaa vyeusi na wamefungwa kwenye viroba na kudumbukizwa baharini na taarifa hazitolewi mpaka wavuvi walipoamua kutoa taarifa kwenye media ..
Kama hawapo vituoni wanakuwaga wapi ???
Upo nyuma ya keyboard yako unaanzisha thread unamalizia hakuna aliye salama?,huwa natamani mkakae North Korea hata dakika 60 ndo mrudi na adabu,tatizo mmezoea kupewa uhuru mpaka kumdhihaki mkuu wa nchi miaka ya nyuma,huyu aliyeingia alishajiandaa isifikie na yeye mkamuita DHAIFU na amefanikiwa kwa 99%,niliwahi kusema ukiondoa wazungu binadamu waliobaki ili wapate maendeleo ni mchaka mchaka,viboko ikibidi hadi risasi.Hiyo China hapo ilipo wamenyongwa wengi na viboko juu ndo maendeleo yamepatikana.Ukicheka na nyani unavua mabua.Fanya mambo yako,ya serikali iachie serikali.
Kijana wala usiwe na hofu , maana wauaji hawa wa hapa kwetu nao watakufa tu .Sio mpenzi sana wa kuanzisha uzi ila nimelazimika kuandika uzi siku ya Leo.Sababu zilizonisukuma kuandika uzi ni kuhusu chalii mmoja hapa kapagawa baada ya kupigiwa simu na kuambiwa aripoti makao makuu kitengo cha cyber kusaidia upepelezi na kuhojiwa,..jamaa anachokumbuka Mara ya mwisho ali-like post ya Mange mwanzo nilidhani ni matapeli ila hali inaonyesha ni kweli japo jamaa anasema alitoa like tu na hakuna mahala alicomment au kupost ,ila itakua alienda further japo sijui
Siku chache nyuma kuna MTU huku mtaani alimtuhumu rais kuwa ana mkono kwenye tukio la Lissu kilichotokea jamaa kachukuliwa na watu wasiojulikana huku mashuhuda wakishuhudia na watu wamemtafuta vituo vyote vya polisi wamemkosa hawajui atakua wapi na imepita mawiki haijulikani yupo hai,kwenye viroba au kafa.
Hii ni mifano michache ila nina mifano 2 mingine ambayo ni worse haifai kuzungumza ya watu kupotea baada ya kushindwa kuzuia midomo yao.
Ndugu zanguni wana JF ,wananchi nawapendeni sana chungeni midomo yenu na tumieni facebook na Instagram vizuri majamaa wapo active ,msi comment na kupost vitu vya kuwashwa washwa kwenye mitandao ya fb na Instagram kwa manufaa yako na familia yako na pia chunga mdomo wako kwenye hadhira ya watu hata kama unawashwa washwa .
Kama watu wanachukuliwa na kupotea hovyo halafu hawaonekani vituoni wanakwenda wapi ? Watu 2 wamepotea kwa kuisema hovyo régime na mashuhuda wameona wakichukuliwa lkn cha kushanga vituo vyote wametafutwa wamekosekana halafu juzi tunaona watu wamefungwa vitambaa vyeusi na wamefungwa kwenye viroba na kudumbukizwa baharini na taarifa hazitolewi mpaka wavuvi walipoamua kutoa taarifa kwenye media ..
Kama hawapo vituoni wanakuwaga wapi ???