makwagejo
JF-Expert Member
- Nov 25, 2019
- 361
- 267
Evil does not pay, leo imebainika wazi CWT ni agent wa CCM, hata kama mlioteuliwa mmegoma kuapa ila mmeumiza watu sana na walimu wanaodhalilishwa kwa kufungishwa mikataba ya hovyo.
• Mh Rais huyu mama alisifiwa sana na JPM, hata kumteua tu umempa neshima sana, lakini ni miongoni mwa watu ambao ameumiza walimu wa 2013, mh Rais mm sikufundishi kazi ila kwa cheo alichonacho CWT anapaswa pia akiachie.
• Ndugu zangu walimu hivi mnadhani kitatokea nn huyu mama asipo kubali uteuzi,? Kutakua na positive relationship hapo kweli? Ndo yaleyale walimu tutaambiwa tutakula jeuli yetu.
• CWT maslai mapana ya walimu tumuombe leya utupishe kwanza ulishawatia hasara walimu wa 2013, na Samia amekupa mchongo wa kutodhalilika, kwa kushindwa kwako kusimamia haki za watu umetengeza ajenda kwa vyama vya upinzani.
• Hata huu uteuzi wa mbongwe hutaweza kusimamia haki za wachimbaji wadogo wadogo wa dhahabu, utakua dalali tu na mpigaji, huwezi kusimamia makilo ya dhahabu yanakamuilwa, hatuna uhakika hata na banki yetu ni salama.
Mh! Naomba ujari maslai ya hawa walimu wa 2013, hawana siniority, yani mishahara yao haina utofauti na wadogo zao.
Lakini huyu Leya CCM mmemkumbatia lakini amewaachia mwiba wa kujibu hoja nzito, wakati mwingine muheshimiwa angalia watu wengine tofauti na hivi vyama vya wafanya kazi, viunaumiza watu.
• Mh Rais huyu mama alisifiwa sana na JPM, hata kumteua tu umempa neshima sana, lakini ni miongoni mwa watu ambao ameumiza walimu wa 2013, mh Rais mm sikufundishi kazi ila kwa cheo alichonacho CWT anapaswa pia akiachie.
• Ndugu zangu walimu hivi mnadhani kitatokea nn huyu mama asipo kubali uteuzi,? Kutakua na positive relationship hapo kweli? Ndo yaleyale walimu tutaambiwa tutakula jeuli yetu.
• CWT maslai mapana ya walimu tumuombe leya utupishe kwanza ulishawatia hasara walimu wa 2013, na Samia amekupa mchongo wa kutodhalilika, kwa kushindwa kwako kusimamia haki za watu umetengeza ajenda kwa vyama vya upinzani.
• Hata huu uteuzi wa mbongwe hutaweza kusimamia haki za wachimbaji wadogo wadogo wa dhahabu, utakua dalali tu na mpigaji, huwezi kusimamia makilo ya dhahabu yanakamuilwa, hatuna uhakika hata na banki yetu ni salama.
Mh! Naomba ujari maslai ya hawa walimu wa 2013, hawana siniority, yani mishahara yao haina utofauti na wadogo zao.
Lakini huyu Leya CCM mmemkumbatia lakini amewaachia mwiba wa kujibu hoja nzito, wakati mwingine muheshimiwa angalia watu wengine tofauti na hivi vyama vya wafanya kazi, viunaumiza watu.