Kivumah
JF-Expert Member
- Jan 7, 2008
- 2,428
- 1,050
Peoples Power, Nguvu ya Wananchi ni nguvu ya Umma. Wanajamvi yeyote mwenye CV za hawa wabunge wafuatao wapya wanaoingia mjengoni atuwekee hapa tuwajue walisomea nini, wapi, wameisaidaje jamii so far,etc. lengo tuwajue vizuri kabla hawajaanza makeke yao Bungeni.
1. Tundu Lissu
2. John Mnyika
3. Vincent Nyerere
4. Hezekiah Wenje
5. Proffessor Kahigi
6. Lema(Arusha Mjini)
7. Sugu Joseph Mbilinyi(Mbeya Mjini)
8. Samson Highness (Ilemela)
etc
1. Tundu Lissu
2. John Mnyika
3. Vincent Nyerere
4. Hezekiah Wenje
5. Proffessor Kahigi
6. Lema(Arusha Mjini)
7. Sugu Joseph Mbilinyi(Mbeya Mjini)
8. Samson Highness (Ilemela)
etc