CV za Wabunge Wapya Chadema

Kivumah

JF-Expert Member
Jan 7, 2008
2,428
1,050
Peoples Power, Nguvu ya Wananchi ni nguvu ya Umma. Wanajamvi yeyote mwenye CV za hawa wabunge wafuatao wapya wanaoingia mjengoni atuwekee hapa tuwajue walisomea nini, wapi, wameisaidaje jamii so far,etc. lengo tuwajue vizuri kabla hawajaanza makeke yao Bungeni.
1. Tundu Lissu
2. John Mnyika
3. Vincent Nyerere
4. Hezekiah Wenje
5. Proffessor Kahigi
6. Lema(Arusha Mjini)
7. Sugu Joseph Mbilinyi(Mbeya Mjini)
8. Samson Highness (Ilemela)
etc
 
kaangalie kwenye tovuti ya bunge la Tanzania,tayari wameshaweka CV zao!jingine mkuu!!!!
 
1. Majasiri wa kukataa Rushwa , walihongwa 900,000,000 kila mmoja wakataa
2. Uwezo mkubwa wa kujengo hoja na kushawishi, hawakutoa hongo hata kidogo lakini kwa hoja wakashawishi wakashinda (eg Sugu)
3.Uvumilivu mkubwa, walisubiri matokeo kwa siku 3 hadi 4 bila kulala
4.Utaalamu wa kuzingatia sheria za Nchi, CCM wamejaribu kutafuta walipojikwaa wamekosa

na nyingine nyingi
 
Peoples Power, Nguvu ya Wananchi ni nguvu ya Umma. Wanajamvi yeyote mwenye CV za hawa wabunge wafuatao wapya wanaoingia mjengoni atuwekee hapa tuwajue walisomea nini, wapi, wameisaidaje jamii so far,etc. lengo tuwajue vizuri kabla hawajaanza makeke yao Bungeni.
1. Tundu Lissu
2. John Mnyika
3. Vincent Nyerere
4. Hezekiah Wenje
5. Proffessor Kahigi
6. Lema(Arusha Mjini)
7. Sugu Joseph Mbilinyi(Mbeya Mjini)
8. Samson Highness (Ilemela)
etc

Anza kuweka CV ya mjomba wako J. Komba kwanza.
 
Tatizo lenu humu kwenye jamiiforums mmekaa kisiasa mtu anasema anaomba CV za wabunge hao wachadema mnakuwa wakali tatizo ni nini hawa ni waheshimiwa wabunge wateule wa jamhuri jitahidini maana tunajua wengine kwa elimu ya darasani mmefikia hatua ya elimu nzuri lakini ndani ya chama chenu uwezo unakuwa mdogo mmejaa chuki,kusema uongo,kutaka huruma kutoka kwa wananchi maana watu waliwadanganya mkaingia kwenye uchaguzi kwa kundi fulani likiwa nyuma yenu sasa pwaaaa jazba na pressure juu na hii imedhihirisha ukomaaavu cheche .Tupeni CV za hao jamaa zenu kama mnavyosema mnauwezo wa kuzipata za CCM leteni na CV za kina sugu hapa.
 
1. Majasiri wa kukataa Rushwa , walihongwa 900,000,000 kila mmoja wakataa
2. Uwezo mkubwa wa kujengo hoja na kushawishi, hawakutoa hongo hata kidogo lakini kwa hoja wakashawishi wakashinda (eg Sugu)
3.Uvumilivu mkubwa, walisubiri matokeo kwa siku 3 hadi 4 bila kulala
4.Utaalamu wa kuzingatia sheria za Nchi, CCM wamejaribu kutafuta walipojikwaa wamekosa

na nyingine nyingi

prove beyond reasonable doubt about the allegation?

hii ndiyo inaharibu image ya chadema, uongo uongo badala ya kujenga hoja za msingi
 
John Mnyika aliniacha shule O-Level (1998) Maua Seminary alimaliza na aligonga A 9 na C ya English. A-Level alienda Tambaza ila sidhani kama lipata mafanikio kama mwanzo(maoni yangu tu) na nadhani aliirudia tena A-level an kupata matokeo mazuri hivyo kwenda kusoma chuoni na hatimaye CHADEMA.

Ya Bw. Lema sijui nani anaweza kuongea maana hapa Arusha inafahamika kwamba jamaa kamaliza form 4 na div mbovu kiasi na jakusoma A--level ila mwishoni amefanya certificate flani ya Computer (Sina uhakika hapa) ila wadau wengi wanasema ni magumashi. (Tumemchagua kwa sababu tumechoka na walokuwepo wenye elimu na pesa ila hakuna walichofanya, ona njia ya kuelekea mtaani kw
etu ilivyo).


13307_392151035137_772270137_3855039_682040_n.jpg
 
John Mnyika aliniacha shule O-Level (1998) Maua Seminary alimaliza na aligonga A 9 na C ya English. A-Level alienda Tambaza ila sidhani kama lipata mafanikio kama mwanzo(maoni yangu tu) na nadhani aliirudia tena A-level an kupata matokeo mazuri hivyo kwenda kusoma chuoni na hatimaye CHADEMA.

Ya Bw. Lema sijui nani anaweza kuongea maana hapa Arusha inafahamika kwamba jamaa kamaliza form 4 na div mbovu kiasi na jakusoma A--level ila mwishoni amefanya certificate flani ya Computer (Sina uhakika hapa) ila wadau wengi wanasema ni magumashi. (Tumemchagua kwa sababu tumechoka na walokuwepo wenye elimu na pesa ila hakuna walichofanya, ona njia ya kuelekea mtaani kwetu ilivyo).


13307_392151035137_772270137_3855039_682040_n.jpg

Heshima kwako Kizomanizo.

Mkuu asante sana umejaribu kutoa majibu ambayo wengi wamekwepa kwa makusudi.Kuna kipindi unafika unawashangaa watu hapa Jamvini habari wanazotaka ni kusifia CHADEMA tu ukikosoa utapachikwa majina ya ajabu ajabu.Mleta mada kaomba CV za wabunge wa CHADEMA kama unajua unatuambia kama hujui unakaa kimya.

Mkuu wangu CV ya Godbless Lema ni ya hovyo kuliko nilivyofikiri mwanzo.Jamaa alishindwa kufaulu mtihani wa form II kuingia form III.Ana cheti cha lugha ya kiingereza miezi 3 KIMAHAMA mkabala na Golden Rose.Mkuu mambo mengine labda ajiendeleze baada ya kuwa mheshimiwa kazi hii namwachia kamanda PakaJimmy anaweza kumshauri.

Mkuu ni kweli Lema amechaguliwa kwasababu watu wameichoka CCM si kwa ubora wa kujenga hoja hata kidogo.

 
Heshima kwako Kizomanizo.

Mkuu asante sana umejaribu kutoa majibu ambayo wengi wamekwepa kwa makusudi.Kuna kipindi unafika unawashangaa watu hapa Jamvini habari wanazotaka ni kusifia CHADEMA tu ukikosoa utapachikwa majina ya ajabu ajabu.Mleta mada kaomba CV za wabunge wa CHADEMA kama unajua unatuambia kama hujui unakaa kimya.

Mkuu wangu CV ya Godbless Lema ni ya hovyo kuliko nilivyofikiri mwanzo.Jamaa alishindwa kufaulu mtihani wa form II kuingia form III.Ana cheti cha lugha ya kiingereza miezi 3 KIMAHAMA mkabala na Golden Rose.Mkuu mambo mengine labda ajiendeleze baada ya kuwa mheshimiwa kazi hii namwachia kamanda PakaJimmy anaweza kumshauri.

Mkuu ni kweli Lema amechaguliwa kwasababu watu wameichoka CCM si kwa ubora wa kujenga hoja hata kidogo.
Mkuu Ngongo,

Inapofikia habari za G.Lema basi kwako ni burdaaani kubwa sana, maana kutwa kucha unajikaririsha habari zake!
Mkuu, elimu haina mwisho, umri unamruhusu, atasoma taratibu.Mbona akina Diallo na umri wao wamesoma uzeeni na kujiongezea maarifa, itashindikana kwa Lema ambae yuko kwenye mid-thirties?
 
Mkuu Ngongo,

Inapofikia habari za G.Lema basi kwako ni burdaaani kubwa sana, maana kutwa kucha unajikaririsha habari zake!
Mkuu, elimu haina mwisho, umri unamruhusu, atasoma taratibu.Mbona akina Diallo na umri wao wamesoma uzeeni na kujiongezea maarifa, itashindikana kwa Lema ambae yuko kwenye mid-thirties?

Mkuu PakaJimmy

Ndiyo maana nikasema unaweza kumsaidia !.
 
prove beyond reasonable doubt about the allegation?

hii ndiyo inaharibu image ya chadema, uongo uongo badala ya kujenga hoja za msingi

wewe mambo ya cv yatakusaidia nini, ukisema hivyo mbona ccm kuna watu hata cv hawana kabisa, wameingia kwa kuiba kura na hii ndio cv na sifa kuu ya wabunge wa ccm.
 
Mimi naomba nichangie kwa hao ambao wanamponda Lema kwamba hajasoma.
Labda tuambiane ni vigezo gani vinatumika ili kusema mtu amesoma au hajasoma? Nafikiri most us will count number of years one has
in class. Hii dhana ndo inatufanya tunakuwa na viongozi wabovu katika nchi yetu. Baraza la mawaziri la TZ linaloishia lilikuwa na maprofessor
kati ya 6-0 na PhD,s holders 10-14 lakini tupime performance ya serikali kwa ujumla. Sisemi kwamba tunatakiwa kuwa na viongozi ambao
hawajasoma NO, ila pima uwezo wa kiongozi kwa hoja zake, anavyo jieleza na mambo ailiyofanya.

Mimi namjua Lema na nimeshakaa nae mara nyingi hapa Arusha. sijawahi kumuuliza elimu yake bali kwa kumsikiliza ni mtu mweye uwezo
mkubwa sana wa kujenga hoja, kujieleza kiufasaha na ana msimamo. Kama ningependa kum rate kielimu basi ningesema ana MASTERS
DEGREE TENA YA MIAKA YA NYUMA na siyo hizi za sasa hivi (VODA FASTA) mtu kapata first degree yake PASS na ana qualify kufanya Masters.

Kwahiyo kama amesoma kimahama au popote mimi napenda kukuambia Lema ana uwezo mkubwa pamoja na elimu yake ya kimahama.
Angalia nchi kubwa duniani zimeongozwa na akina nani na ZIKO WAPI.
 
Too late, hayo maswali yalitakiwa yaje wakati wa michakato or else wakati wa kampeni!
 
Du! hii kali
1. Majasiri wa kukataa Rushwa , walihongwa 900,000,000 kila mmoja wakataa
2. Uwezo mkubwa wa kujengo hoja na kushawishi, hawakutoa hongo hata kidogo lakini kwa hoja wakashawishi wakashinda (eg Sugu)
3.Uvumilivu mkubwa, walisubiri matokeo kwa siku 3 hadi 4 bila kulala
4.Utaalamu wa kuzingatia sheria za Nchi, CCM wamejaribu kutafuta walipojikwaa wamekosa

na nyingine nyingi
 
Heshima kwako Kizomanizo.

Mkuu asante sana umejaribu kutoa majibu ambayo wengi wamekwepa kwa makusudi.Kuna kipindi unafika unawashangaa watu hapa Jamvini habari wanazotaka ni kusifia CHADEMA tu ukikosoa utapachikwa majina ya ajabu ajabu.Mleta mada kaomba CV za wabunge wa CHADEMA kama unajua unatuambia kama hujui unakaa kimya.

Mkuu wangu CV ya Godbless Lema ni ya hovyo kuliko nilivyofikiri mwanzo.Jamaa alishindwa kufaulu mtihani wa form II kuingia form III.Ana cheti cha lugha ya kiingereza miezi 3 KIMAHAMA mkabala na Golden Rose.Mkuu mambo mengine labda ajiendeleze baada ya kuwa mheshimiwa kazi hii namwachia kamanda PakaJimmy anaweza kumshauri.

Mkuu ni kweli Lema amechaguliwa kwasababu watu wameichoka CCM si kwa ubora wa kujenga hoja hata kidogo.

[/QUOTEE

Elimu haina uhusiano wowote na uongozi wa mtu, acha kujidai umekuwa na eurocentric views....mbona vijijini tuna wazee kibao ambao hata shule hawajaenda na bado wanaongoza vizuri sana kwa charisma walizopewa na mwenyezi Mungu??? mie simchagui mtu kwa kuangalia elimu yake au title aliyonayo. kwanza wengi wa wabunge wanajiita madokta ila kichwani zero na wapo wenye elimu ya kawaida lakini huwashindi kwa hoja. Acha kufuatilia CV coz haimaanishi kuwa na elimu ndio uwe kiongozi, mbona DK Batilda hakushinda kama elimu ingekuwa kigezo??? Title kuubwa lakini kashindwa na dogo Lema coz Dada Batilda alishindwa kujenga hoja kutushawishi wana A town tumkubali, Lema unayemuona wa OVYO ndio Mbunge wetu mpendwa na tuna imani naye...elimu yake hainihusu cha muhimu maendeleo. Nawakilisha A town.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom