Cv za wabunge viti maalum chadema;- sabrina mrasi sungura .

Status
Not open for further replies.

TUNTEMEKE

JF-Expert Member
Jun 15, 2009
4,587
579
Wakuu, nimeona kwa pamoja tujadiliane juu ya CV na uwepo wa wabunge wa viti maalum wa chadema. chama ambacho ama kwa hakika tunakitegemea sana kama chama mkombozi wetu, japokuwa kwa sasa kina wabunge 26 wa viti maalum lakini sijawahi kuuona umuhimu wao pale bungeni kiasi cha kushindwa kuwatofautisha na wabunge wa CCM waliozoea kusema ndio kwa kila kitu.
naomba leo nianze kuwajadili mmoja mmoja katika jukwaa hili.
Tuanze na huyu SABRINA MLASI SUNGURA. Mwenye CV yake tafadhali aiweke ili tuanze kuupima uwezo wake na umuhimu wao kwetu mjengoni na sio kuvaa viremba tu.
 
Mkuu anza na kuweka cv ya Profesa maji marefu kwanza!why unataka cv ya specific person?utakua umetumwa wewe!tumekustukia.
 
Tuanze na huyu SABRINA MLASI SUNGURA. Mwenye CV yake tafadhali aiweke ili tuanze kuupima uwezo wake na umuhimu wao kwetu mjengoni na sio kuvaa viremba tu.
Inocensia,
Ukimtongoza mwanamke akakukataa kubali maana ni sehemu ya maisha ya Mwanaume. Sasa hii tabia ya kukasirika then unakurupukia kwenye mitandao ili umkomoe haitakusaidia. Wanawake wapo wengi. Kama hujui wanapopatikana niPM nikuelekeze

TUMBIRI wa JF
 
Mkuu anza na kuweka cv ya Profesa maji marefu kwanza!why unataka cv ya specific person?utakua umetumwa wewe!tumekustukia.

Namfahamu vizuri sana huyo binti.
jina lake sahihi nio MRASI na hilo sabrina alianza kulitumia baada ya kufeli darasa la saba.
alisomeshwa na AIDAN NDOLWA kinondoni MUSLIM na baadae zanzibar university.
alianza uhusiano wa kimapenzi na ANTHONY KOMU mkurugenzi wa fedha wa CHADEMA mwaka 2008 mpaka sasa.
Mwaka 2010 alizawadiwa UBUNGE wa viti maalum
 
Mkuu anza na kuweka cv ya Profesa maji marefu kwanza!why unataka cv ya specific person?utakua umetumwa wewe!tumekustukia.
wala siihitaji kuijua CV ya profesa maji marefu sababu kwangu mimi kuwa tu mwana CCM ni zaidi ya janga la kitaifa.
nataka kujua kama CV yake inafanana na ya MAJIMAREFU?.
 
Naona hauna hela ya kula kwa leo, omba tukusaidie kwa M-PESA!

Naona umeingia vibaya.
nataka kujua ni kipi kilizingatiwa mpaka tukawa na aina ya wabunge kama wa huyu binti SUNGURA?. nataka kujua tu ni kwanini mpaka sasa pale bungeni dodoma ni wabunge wale wale wa bunge la tisa wa chadema yetu ukiondoa kamanda mbowe, lisu na mnyika ndio wanaochangia kikamilifu.
 
Inocensia,
Ukimtongoza mwanamke akakukataa kubali maana ni sehemu ya maisha ya Mwanaume. Sasa hii tabia ya kukasirika then unakurupukia kwenye mitandao ili umkomoe haitakusaidia. Wanawake wapo wengi. Kama hujui wanapopatikana niPM nikuelekeze

TUMBIRI wa JF

mkuu,
mimi mwenyewe ni mwanamke. nimtongoze mwanamke mwenzangu ili iweje?. mimi siuwezi u CAMEROUN bwana...sungura yeye ni miongoni mwa wabunge wa viti maalum kwenye chama chetu ambao ni mzigo wa miba.
 
Naona umeingia vibaya.
nataka kujua ni kipi kilizingatiwa mpaka tukawa na aina ya wabunge kama wa huyu binti SUNGURA?. nataka kujua tu ni kwanini mpaka sasa pale bungeni dodoma ni wabunge wale wale wa bunge la tisa wa chadema yetu ukiondoa kamanda mbowe, lisu na mnyika ndio wanaochangia kikamilifu.

Kwa nini iwe Sabrina Sungura.Let us stop gossip
 
Wakuu, nimeona kwa pamoja tujadiliane juu ya CV na uwepo wa wabunge wa viti maalum wa chadema. chama ambacho ama kwa hakika tunakitegemea sana kama chama mkombozi wetu, japokuwa kwa sasa kina wabunge 26 wa viti maalum lakini sijawahi kuuona umuhimu wao pale bungeni kiasi cha kushindwa kuwatofautisha na wabunge wa CCM waliozoea kusema ndio kwa kila kitu.
naomba leo nianze kuwajadili mmoja mmoja katika jukwaa hili.
Tuanze na huyu SABRINA MLASI SUNGURA. Mwenye CV yake tafadhali aiweke ili tuanze kuupima uwezo wake na umuhimu wao kwetu mjengoni na sio kuvaa viremba tu.

Mimi ninamfahamu sana huyo binti.
baba ake mzazi ni mzee maarufu sana kigoma amewahi kuwa MEYA wa MANISPAA YA MJI WA KIGOMA na kwasasa yeye ndiye mwenyekiti wa kamati ya wazee wa CCM anawakilisha wazee wa mji wa kigoma katika VIKAO VYA RCC mkoa wa kigoma.
Mama yake pia ni KADA MTIIFU WA CC na amewahi kugombea uenyekiti wa wilaya wa CCM kigoma mjini akishindana na mfanya biashara maarufu wa eneo la KIBIRIZI pale kigoma japokuwa wote walimwagwa na NASHON BIDYANGUZE mtu ambaye aliyemuiba diwani wa CHADEMA kwa kutafuta UMEYA.
Nilishtuka sana niliposikia kuwa kawa mbunge, nikasema kama huyu naye mbunge basi hata mazezeta wa mirembe wanaweza kuwawabunge, manake mpaka ana maliza chuo kikuu pale kigoma anahesabiwa kama msichana aliyepoteza uelekeo wa kimaisha.

......NITAENDELEA PUNDE...
 
binti anahoja jamani. Mimi mwenyewe sijawahi kumsikia. Hii itatusaidia baadae wakat wa kura za maoni ili kuteua wagombea ubunge sio tuteue ilimradi tu. Pia itamsaidia yeye mwenyewe na wengineo kujirekebisha sio kukaa na kupiga makofi tu. Mbona halima ana fight sana bungen wakat watu kama kina sungura wamekaa tu. Tubadilike sio kila mtu anaetoa hoja kukosoa mwanachadema ni fisadi
 
Kwa nini iwe Sabrina Sungura.Let us stop gossip

BEN;
ungejua!.
SABRINA NI MWANZO TU. hii ni operesheni tetea maslahi ya uuma. tukimalizana na huyu binti tutaingia kwa MUHONGA, OWENYA, MASHISHANGA, MTURANO, REBECCA na wengine wote.
haujui kwamba wabunge wa viti maalum posho na mishahara yao vinatosha kokomesha UKIMWI TANZANIA.
kwa hiyo hatupaswi kuwa na wabunge wa chama makini kama CHADEMA wanaofanana na akili za wabunge wa CCM za kufunga VIREMBA TU na kuvaa mikufu miguuni.
hapa ni KAAZI TU.
VUA GAMBA VAA GWANDA.
 
Hilo ni pigo kwa GENDER kwa na nashawishika kuwa wanawake wanataka usawa lakini wao wenyeeewe hawapendani ....... Je komu alikuwa mumeo ....... Nonsense kabisa ..... unasema alikuwa amefeli darasa la saba ...... Zanzibar University kaenda kusoma ....... Jina siyo isssue ..... Muulize Dr. Kingwangwala Hamisi atakufafanulia vizuri..... kama hajaenda shule hiyo issue nyingine ..... issue ya jina waweza kwenda kula kiapo Mahakamani (John kwenda Said.. Buzz kwenda tigo,,,, celtel kwenda zain to Airtel
 
Naona umeingia vibaya.
nataka kujua ni kipi kilizingatiwa mpaka tukawa na aina ya wabunge kama wa huyu binti SUNGURA?. nataka kujua tu ni kwanini mpaka sasa pale bungeni dodoma ni wabunge wale wale wa bunge la tisa wa chadema yetu ukiondoa kamanda mbowe, lisu na mnyika ndio wanaochangia kikamilifu.

CHADEMA walitengeza formula ya kupata wabunge wa viti maalum. Na wahusika wakuu walikuwa Prof Beregu, Dr Kitila Mkumbo. Wapo baadhi ya wabunge wa CHADEMA ambao si waongeaji sana (kwa kusimama bungeni) lakini kwenye wazuri kwa kutoa michango kwenye mikakati na utekelazaji. Mmojawapo ni Mchungaji Natse.
 
binti anahoja jamani. Mimi mwenyewe sijawahi kumsikia. Hii itatusaidia baadae wakat wa kura za maoni ili kuteua wagombea ubunge sio tuteue ilimradi tu. Pia itamsaidia yeye mwenyewe na wengineo kujirekebisha sio kukaa na kupiga makofi tu. Mbona halima ana fight sana bungen wakat watu kama kina sungura wamekaa tu. Tubadilike sio kila mtu anaetoa hoja kukosoa mwanachadema ni fisadi
upo sahihi sana speedy.
hata kamanda mbowe ameambiwa ARUSHA kuwa KATIKA MSAFARA WA MAMBA NA KENGE PIA WAMO.
SABRINA ndi aina ya hao waliotajwa ambao wanunua nyumba kisha kwa pesa za chama kisha wanakipangisha chama kilichompatia huo ubunge. Tusipokiongelea hiki kiini macho kesho na keshokutwa tutasutwa na wajukuu zetu.
 
Hilo ni pigo kwa GENDER kwa na nashawishika kuwa wanawake wanataka usawa lakini wao wenyeeewe hawapendani ....... Je komu alikuwa mumeo ....... Nonsense kabisa ..... unasema alikuwa amefeli darasa la saba ...... Zanzibar University kaenda kusoma ....... Jina siyo isssue ..... Muulize Dr. Kingwangwala Hamisi atakufafanulia vizuri..... kama hajaenda shule hiyo issue nyingine ..... issue ya jina waweza kwenda kula kiapo Mahakamani (John kwenda Said.. Buzz kwenda tigo,,,, celtel kwenda zain to Airtel

hahahahahahahahahaha..KOMU?. aah.
 
CHADEMA walitengeza formula ya kupata wabunge wa viti maalum. Na wahusika wakuu walikuwa Prof Beregu, Dr Kitila Mkumbo. Wapo baadhi ya wabunge wa CHADEMA ambao si waongeaji sana (kwa kusimama bungeni) lakini kwenye wazuri kwa kutoa michango kwenye mikakati na utekelazaji. Mmojawapo ni Mchungaji Natse.

Formula za CHADEMA hazina uhusiano na udhaifu wa hawa wabunge wa type ya sabrina sungura.
 
BEN;
ungejua!.
SABRINA NI MWANZO TU. hii ni operesheni tetea maslahi ya uuma. tukimalizana na huyu binti tutaingia kwa MUHONGA, OWENYA, MASHISHANGA, MTURANO, REBECCA na wengine wote.
haujui kwamba wabunge wa viti maalum posho na mishahara yao vinatosha kokomesha UKIMWI TANZANIA.
kwa hiyo hatupaswi kuwa na wabunge wa chama makini kama CHADEMA wanaofanana na akili za wabunge wa CCM za kufunga VIREMBA TU na kuvaa mikufu miguuni.
hapa ni KAAZI TU.
VUA GAMBA VAA GWANDA.


Please usinihusishe kwenye huu udaku wako.....

This question needs an urgent answer. Rumour mongers seems to be highly paid and recognized than the ordinary guys who work hard to earn a living- why is this so?
 
Status
Not open for further replies.
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom