WanaJF,
samahanini kwa kuwa kimya sana. Nimerudi leo kutoka likizo ya kijijini kwetu. Leo nina jambo moja naomba tuchambue na kupanga CV za maCEO waserikali ili tupate angalau asusa zao. Mie nitatoa muongozo
1. Dr Dau (NSSF) - huyu ndio mfuko mkubwa wa Manji na ndio mmojawapo anayempa jeuri manji,ni mdini mpaka basi....nilikosa kazi hapo kisa mimi ni mkristo
2. Erio (PPF) - jamaa ni mshabiki mkubwa wa mpira (simba na man utd) zaidi ya hapo sina jipya lake
3. Tillya (TRA)- tatizo anaAmrishwa sana na hapewi nafasi ya kufanya maamuzi
4. Mahingila (BRELA) - jamaa anaongoza kuandikisha makampuni hewa kwa shinikizo na maagizo ya mafisadi wakuu
5. Kamuzora (Bima) - huyu jamaa ndio hafai kabisa,nchi haijui anafanya nini. Elimu yake ni ndogo sana ukilinganisha na kazi anayofanya. Inasemakana aliwekwa na Karamagi na Kamala. Ameshaharibu insurance industry kabisa!
6. Prof. Nkoma (TCRA) - Huyu naye hana msaada kabisa kwani anawatajirisha voda na wenzake bila kujali maslahi ya watz
7. Mlinga (PPRA) - huyu jamaa anajitahidi lakini hana meno na sasa wanaendesha semina nyingi sana bila dira.Ubadhirifu
8.Maimu (RITA)- Aisee huyu ni fisadi mkubwa sana na ndiye aliyeanznisha maexpert wa IT uchwara pale utumishi wakawa wanakula bila kufanya kazi na juzi alikuwa awe CEO wavitambulisho vya taifa yeye na kyaruzi
9. Benno (BOT) - mhhh
10. Kimei (CRDB) - tender zote pale CRDB anashinda mke wake
11. Snaga(LAPF)- alimkimbia Dau kwa udini na kukosa dira.
Wadau naomba mnipe details zaidi za watu hawa ambao wengi ni mafisadi kama sio wa hela ni uongozi,tuwachambue na ikiwezekana tuwe na database yao ili tuwe tunamaliza kazi mapema
samahanini kwa kuwa kimya sana. Nimerudi leo kutoka likizo ya kijijini kwetu. Leo nina jambo moja naomba tuchambue na kupanga CV za maCEO waserikali ili tupate angalau asusa zao. Mie nitatoa muongozo
1. Dr Dau (NSSF) - huyu ndio mfuko mkubwa wa Manji na ndio mmojawapo anayempa jeuri manji,ni mdini mpaka basi....nilikosa kazi hapo kisa mimi ni mkristo
2. Erio (PPF) - jamaa ni mshabiki mkubwa wa mpira (simba na man utd) zaidi ya hapo sina jipya lake
3. Tillya (TRA)- tatizo anaAmrishwa sana na hapewi nafasi ya kufanya maamuzi
4. Mahingila (BRELA) - jamaa anaongoza kuandikisha makampuni hewa kwa shinikizo na maagizo ya mafisadi wakuu
5. Kamuzora (Bima) - huyu jamaa ndio hafai kabisa,nchi haijui anafanya nini. Elimu yake ni ndogo sana ukilinganisha na kazi anayofanya. Inasemakana aliwekwa na Karamagi na Kamala. Ameshaharibu insurance industry kabisa!
6. Prof. Nkoma (TCRA) - Huyu naye hana msaada kabisa kwani anawatajirisha voda na wenzake bila kujali maslahi ya watz
7. Mlinga (PPRA) - huyu jamaa anajitahidi lakini hana meno na sasa wanaendesha semina nyingi sana bila dira.Ubadhirifu
8.Maimu (RITA)- Aisee huyu ni fisadi mkubwa sana na ndiye aliyeanznisha maexpert wa IT uchwara pale utumishi wakawa wanakula bila kufanya kazi na juzi alikuwa awe CEO wavitambulisho vya taifa yeye na kyaruzi
9. Benno (BOT) - mhhh
10. Kimei (CRDB) - tender zote pale CRDB anashinda mke wake
11. Snaga(LAPF)- alimkimbia Dau kwa udini na kukosa dira.
Wadau naomba mnipe details zaidi za watu hawa ambao wengi ni mafisadi kama sio wa hela ni uongozi,tuwachambue na ikiwezekana tuwe na database yao ili tuwe tunamaliza kazi mapema