WISDOM SEEDS
JF-Expert Member
- Jun 1, 2011
- 841
- 282
E bhana! Nimesoma CV ya prof. Shivji hadi najihisi kuchanganyikiwa!
CV ya Werema haikunishtua kabisa kwani ni mtu wa kawaida mno!
CV ya Werema haikunishtua kabisa kwani ni mtu wa kawaida mno!
Mbona kikwete alimuacha kwenye ile Tume ya katiba au ccm ilikuwa inamuhofia?Werema si boom tu. Hata anavyojibu hoja unajuwa kuwa huyu mtu sio makini.
JK amejiharibu, angezama vyuo vikuu akaiba majembe haya yakakarabati hii nchi!!!
Fikiria huyu angekua AG, ingekuwaje??
Namfahamu Dr. Waguru Magigi, kijana hatari yuko SUA ( MUCCoBS)....... Huuu ni upangaaaaaa
Dr. Kitila
Asante Mkuu! MImi nakuja na observation nyingine nilipoangalia CV hii.Je ni sahihi kwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali kuwa na Chama? Je anaweza kutendea haki watu husika? Au ndo kifungu kinachtaka mgombea kuwa na chama. Lakini yeye kama mwanasheria hagombei kupewa cheo hicho...au criteria za rais kumteua mwanasheria mkuu mojawapo ni lazima awe mwanachama? Vipi endapo kuna watu wenye competencies za kutosha lakini hawana political orientation yoyote na si wanachama wa chama chochote, lakini ni wasomi wazuri wa sheria, wazalendo na wenye track record nzuri zilizo-outstanding?
CV ya Issa Shivji inatisha!
Sio CV tu bali nimuelewa na Mshauri wa sheria aliyebobea.Wakati ana master ndiyo kwanza huyo werema yupo shule ya msingi hata kwa umri ni baba na mwanae.Machapisho,vitabu,mabandiko na uzoevu Kazini.....................................,Hamfiki hata robo na ndiyo maana ameamua kumdhalilisha,Lkn Ukweli unasimama na hauhitaji kuwa na Lobbist wa kuutetea!CV ya Issa Shivji inatisha!
Tatizo lenu mnafikiri CV ndio zinafanya kazi.
CV ni wasifu unaokuelezea ulivyo, masomo uliyopitia, ujuzi ulionao na uzoefu wako, acha ushamba wewe!
Inakuwaje unapotuma CV kwa muajiri anakuita tena kwenye Interview wakati CV imeshamaliza kazi ya kukuelezea?
Mbona kikwete alimuacha kwenye ile Tume ya katiba au ccm ilikuwa inamuhofia?
Tatizo lenu mnafikiri CV ndio zinafanya kazi.
Nakubaliana na ww..lakini vp kama angekuwa na yale majina yetu, ungemponda?Werema si boom tu. Hata anavyojibu hoja unajuwa kuwa huyu mtu sio makini.