Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,933
- 32,342
- Thread starter
- #21
nchi zote dunia ni zenye mafanikio makubwa zimewekeza ktk railway systems,ni vyem tukiwa na watu wenye uwelewa mkubwa ktk mambo ya railway system maana ndio usafiri pekee ulio wa uhakika na uchache wa ajari,huku tulipo watu wengi wanatumia usafiri wa reli ingawaje mabasi yapo lakini si kwa safari ndefu.so mtu kama huyo mazingira tulipo ndio wanaowatumia kwani yupo ktk fani ambayo amesomea kuliko kumweka mtu ilimradi awepo.ingawaje namkubari sana Dr Mwakyembe kwani ni mwepesi na msimamizi mzuri wa mambo kwa hiyo akiwa na watu wajuzi kama hao mambo yatakwenda
Wewe kweli Chadema Addicted yaani kusoma short course miezi mitatu ndio ana uelewa mkubwa katika mambo ya railway.