CV ya Waziri Kiongozi wa Zanzibar

Kithuku

JF-Expert Member
Nov 19, 2006
1,395
207
Wadau,

Hii hapa ni CV ya mheshimiwa wetu waziri kiongozi wa Zanzibar, Shams Vuai Nahodha. Nimesoma yaliyomo ndani nikajiuliza kama haya ndio mambo muhimu sana katika wasifu wake, au walioiandika (au kama ni yeye mwenyewe aliyeiandika) wamekosa mambo ya kuandika humo, ikabidi wayaandike hayo. Hasa hizi entry za July 1999 na hiyo ya May 2000 sielewi zinaingiaje kwenye CV, hebu tuelimishane hapa!

Nanyi hebu oneni mtoe maoni yenu.

CV yenyewe inapatikana kwenye link hii hapa: http://www.jakayakikwete.com/tanzania/pages/Chief-Minister ,
lakini nimeamua pia kuinakili na kuibandika hapa chini.


Chief Minister
Surname: Nahodha
Other names: Shamsi Vuai
Date of birth: 20 Nov. 1962
Place of birth: Zanzibar
Marital Status: Married
Sex: Male
Nationality: Tanzanian
Constituency: Zanzibar West District.

Academic Qualification:

1969 - 1978 Primary and Junior Secondary education at Kiongoni school in Makunduchi, Zanzibar
1969 - 1979 Ordinary level education at Ben Bella secondary school
1980 - 1984 Certificate of languages at the institute of Kiswahili and foreign languages, Zanzibar.
Area of specialisation: English, French, Kiswahili, History and Education
1984 - 1987 BA Ed at the University of Dar es Salaam.
Area of specialisation: French, History, Psychology, Educational Counselling, Educational Administration and Management.

1995 - 1996 Post-Graduate Diploma in International Relations and Diplomacy at the Centre for Foreign Relations in Dar es Salaam.
Area of specialisation: International Relations, Diplomacy, Interantional Law, Communication Skills, International Negotiation and Management of Conflict Resolution.

Professional Skills and Experience:
April - June 1984 Four months intensive French language course at the Centre of Language Training, Bujumbura University in the Central Republic of Burundi.
April - June 1986 Four months intensive French language course at the Centre of Language Training, Bujumbura University.
1988 - 1991 Producer Director of Educational Programmes at Television Zanzibar
Jan - May 1991 Certificate of General Programme production course at Radio Netherlands Training Centre.
1996 President of Students� Government at the Centre for Foreign Relations, Dar es Salaam
1997 News-Editor and Public Relations Officer respectively at the Zanzibar Department of Information
1998 Equipment organiser for Zanzibar International Film Festival
1999 Pursuing LL.B Degree course at the open University of Tanzania
May, 1999 Member of the Steering Committee of the Pan African Women Conference on Peace and Non-violence responsible for publicity and conference equipment
July, 1999 Master of Ceremony during the award presentation ceremony to mark the closure of Zanzibar International Film festival in which the chief guest of honour was His Excellency, Dr. Salmin Amour, the President of Zanzibar.
May, 2000 Host to President Benjamin W. Mkapa when he visited Hasnu Makame CCM Zealot at Mwanakwerekwe, Zanzibar.
2000 - 2005 Elected member of the House of Representatives in Mwera
 
Wadau,

Hii hapa ni CV ya mheshimiwa wetu waziri kiongozi wa Zanzibar, Shams Vuai Nahodha. Nimesoma yaliyomo ndani nikajiuliza kama haya ndio mambo muhimu sana katika wasifu wake, au walioiandika (au kama ni yeye mwenyewe aliyeiandika) wamekosa mambo ya kuandika humo, ikabidi wayaandike hayo. Hasa hizi entry za July 1999 na hiyo ya May 2000 sielewi zinaingiaje kwenye CV, hebu tuelimishane hapa!

Nanyi hebu oneni mtoe maoni yenu.

CV yenyewe inapatikana kwenye link hii hapa: http://www.jakayakikwete.com/tanzania/pages/Chief-Minister ,
lakini nimeamua pia kuinakili na kuibandika hapa chini.


Chief Minister
Surname: Nahodha
Other names: Shamsi Vuai
Date of birth: 20 Nov. 1962
Place of birth: Zanzibar
Marital Status: Married
Sex: Male
Nationality: Tanzanian
Constituency: Zanzibar West District.

Academic Qualification:

1969 - 1978 Primary and Junior Secondary education at Kiongoni school in Makunduchi, Zanzibar
1969 - 1979 Ordinary level education at Ben Bella secondary school
1980 - 1984 Certificate of languages at the institute of Kiswahili and foreign languages, Zanzibar.
Area of specialisation: English, French, Kiswahili, History and Education
1984 - 1987 BA Ed at the University of Dar es Salaam.
Area of specialisation: French, History, Psychology, Educational Counselling, Educational Administration and Management.

1995 - 1996 Post-Graduate Diploma in International Relations and Diplomacy at the Centre for Foreign Relations in Dar es Salaam.
Area of specialisation: International Relations, Diplomacy, Interantional Law, Communication Skills, International Negotiation and Management of Conflict Resolution.

Professional Skills and Experience:
April - June 1984 Four months intensive French language course at the Centre of Language Training, Bujumbura University in the Central Republic of Burundi.
April - June 1986 Four months intensive French language course at the Centre of Language Training, Bujumbura University.
1988 - 1991 Producer Director of Educational Programmes at Television Zanzibar
Jan - May 1991 Certificate of General Programme production course at Radio Netherlands Training Centre.
1996 President of Students� Government at the Centre for Foreign Relations, Dar es Salaam
1997 News-Editor and Public Relations Officer respectively at the Zanzibar Department of Information
1998 Equipment organiser for Zanzibar International Film Festival
1999 Pursuing LL.B Degree course at the open University of Tanzania
May, 1999 Member of the Steering Committee of the Pan African Women Conference on Peace and Non-violence responsible for publicity and conference equipment
July, 1999 Master of Ceremony during the award presentation ceremony to mark the closure of Zanzibar International Film festival in which the chief guest of honour was His Excellency, Dr. Salmin Amour, the President of Zanzibar.
May, 2000 Host to President Benjamin W. Mkapa when he visited Hasnu Makame CCM Zealot at Mwanakwerekwe, Zanzibar.
2000 - 2005 Elected member of the House of Representatives in Mwera
heee heee

nimecheka kweli, sijui labda kwa kuwa cv yake ilikuwa shallow sana ikabidi na hayo mengine abambikie.

kweli jf makini mna macho kila kona
 
Give a guy a brake, yes he need to show his employer that he hosted the party. Who knows probably one day JK will look for MC on one of his grands birthday party, he qualify for it.

Thanks waziri Kiongozi for host the party.
 
Wadau,

Hii hapa ni CV ya mheshimiwa wetu waziri kiongozi wa Zanzibar, Shams Vuai Nahodha. Nimesoma yaliyomo ndani nikajiuliza kama haya ndio mambo muhimu sana katika wasifu wake, au walioiandika (au kama ni yeye mwenyewe aliyeiandika) wamekosa mambo ya kuandika humo, ikabidi wayaandike hayo. Hasa hizi entry za July 1999 na hiyo ya May 2000 sielewi zinaingiaje kwenye CV, hebu tuelimishane hapa!

Nanyi hebu oneni mtoe maoni yenu.

CV yenyewe inapatikana kwenye link hii hapa: http://www.jakayakikwete.com/tanzania/pages/Chief-Minister ,
lakini nimeamua pia kuinakili na kuibandika hapa chini.


Chief Minister
Surname: Nahodha
Other names: Shamsi Vuai
Date of birth: 20 Nov. 1962
Place of birth: Zanzibar
Marital Status: Married
Sex: Male
Nationality: Tanzanian
Constituency: Zanzibar West District.

Academic Qualification:

1969 - 1978 Primary and Junior Secondary education at Kiongoni school in Makunduchi, Zanzibar
1969 - 1979 Ordinary level education at Ben Bella secondary school
1980 - 1984 Certificate of languages at the institute of Kiswahili and foreign languages, Zanzibar.
Area of specialisation: English, French, Kiswahili, History and Education
1984 - 1987 BA Ed at the University of Dar es Salaam.
Area of specialisation: French, History, Psychology, Educational Counselling, Educational Administration and Management.

1995 - 1996 Post-Graduate Diploma in International Relations and Diplomacy at the Centre for Foreign Relations in Dar es Salaam.
Area of specialisation: International Relations, Diplomacy, Interantional Law, Communication Skills, International Negotiation and Management of Conflict Resolution.

Professional Skills and Experience:
April - June 1984 Four months intensive French language course at the Centre of Language Training, Bujumbura University in the Central Republic of Burundi.
April - June 1986 Four months intensive French language course at the Centre of Language Training, Bujumbura University.
1988 - 1991 Producer Director of Educational Programmes at Television Zanzibar
Jan - May 1991 Certificate of General Programme production course at Radio Netherlands Training Centre.
1996 President of Students� Government at the Centre for Foreign Relations, Dar es Salaam
1997 News-Editor and Public Relations Officer respectively at the Zanzibar Department of Information
1998 Equipment organiser for Zanzibar International Film Festival
1999 Pursuing LL.B Degree course at the open University of Tanzania
May, 1999 Member of the Steering Committee of the Pan African Women Conference on Peace and Non-violence responsible for publicity and conference equipment
July, 1999 Master of Ceremony during the award presentation ceremony to mark the closure of Zanzibar International Film festival in which the chief guest of honour was His Excellency, Dr. Salmin Amour, the President of Zanzibar.
May, 2000 Host to President Benjamin W. Mkapa when he visited Hasnu Makame CCM Zealot at Mwanakwerekwe, Zanzibar.
2000 - 2005 Elected member of the House of Representatives in Mwera

ha ha ha ! ni khatari lakini salama
 
haaaahaaaaaaa,

Master of Ceremon nayo inaingizwa kwenye CV, naona waliona CV yake inaishia nusu kurasa; wakaona waongeza mambo mengine ili angalau ziwe kurasa mbili.

hata hivyo wamesahau 'aliwahi kuwa Monitor shule ya msingi'
 
Ooh...Kithuku, pse tell me this is just a joke, please..! Kama ni kweli naomba uiondoe hapa- aibu tupu kama raia wa nchi za kigeni wataiona.
 
May, 1999 Member of the Steering Committee of the Pan African Women Conference on Peace and Non-violence responsible for publicity and conference equipment

Nitaomba ufafanuzi kidogo kwa wana JF kuhusu mwanaume kuwa mwanachama wa kamati ya WANAWAKE ya jambo lolote lile. Je hii inaruhusiwa? Unajua huu wasifu wa Nahodha umekaa kivituko vituko kiasi fulani hivi eeh?
Yaani inatisha.
Hebu wana JF "Bonyezeni" Kizenji basi!
 
yeye angalau kasema ukweli wake hajadanganya, kujipa makubwa asonayo ya nn?

kun a wale wanaodanganya kujitia wana madegree, wana mdoktar na kede kede kumbe uongo mtupu.

inaonyesha jinsi alivyolelewa vyema sema ukweli japo watu watakucheka na kukuona bojole,

eeh alikuwa ktk kamati ya kimama si mwanaharakati wa jenda issue tena?
 
Give a guy a brake, yes he need to show his employer that he hosted the party. Who knows probably one day JK will look for MC on one of his grands birthday party, he qualify for it.

Thanks waziri Kiongozi for host the party.

Kweli uliona mbali mkuu nilishuhudia jana jinsi alivyokuwa anajibu maswali ya waandishi wa habari kwenye kamati anayoiongoza..Alikuwa anatoa majibu ya kwenye sherehe ilihali ni suala linalogusa taifa. Ni vipi unaweza kujali tu content bila kuwa bothered kwamba signature iliyoauthorise contents husika imeghushiwa ama la kwa utetezi wa ki MC kwamba wewe taaluma yako ni ya ualimu na kwamba kuna maspecialist wa kuhakiki signature!
 
April - June 1984 Four months intensive French language course at the Centre of Language Training, Bujumbura University in the''Central Republic of Burundi.''

Hii nchi haipo duniani................kuna Central Republic of Africa. Ni wazi kwamba wanasiasa wengi wana elimu ya kuungaunga


 
Majanga haya maana cv kwa uelewa wangu inaconsirt of certificate award and long working experience sasa mambo ya MC hapa yanakuja vp? Mh, HEB WADAU N JUZEN MAY B NAWEZA KUWA WRONG
 
Je mmepata wakti kupitia CV za Kiongozi wa Upndani Bungeni na Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, Au ya Mbunge wa Arusha Town Godbles Lema au ya Mh Vicent Nyerere au hata ya Mnyika.?

Hakika CV yyake Mh Shamsi sio Mbaya kwani hizo ni mbwembwe tu za uandishi lakin Skuli anayo na inaeleweka kwa kila mtu bila kuhitaji msaada. Kwani kuna ilmu nyingine lazima aje mtu akwambie na kukufafanulia zaidi kama ile ya Dr Slaa.
 
Majanga haya maana cv kwa uelewa wangu inaconsirt of certificate award and long working experience sasa mambo ya MC hapa yanakuja vp? Mh, HEB WADAU N JUZEN MAY B NAWEZA KUWA WRONG

Hapo naona umepotoka.

Katika CV unaweka mambo yote muhimu uliyowahi kusoma au hata kuhudhuria ikiwa pamoja na weledi wako kwalo na kutokana na kitu unachotaka kuomba.

 
Nitaomba ufafanuzi kidogo kwa wana JF kuhusu mwanaume kuwa mwanachama wa kamati ya WANAWAKE ya jambo lolote lile. Je hii inaruhusiwa? Unajua huu wasifu wa Nahodha umekaa kivituko vituko kiasi fulani hivi eeh?
Yaani inatisha.
Hebu wana JF "Bonyezeni" Kizenji basi!

mmmmh!!!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom