CV ya Patrick Ole Sosopi

Azim Sokoine

JF-Expert Member
Aug 20, 2014
1,379
2,533
Habari wakuu,

Ni kijana ambaye mbunifu sana jasiri na asiyeyumbishwa kwa sasa ukiangalia mienendo ya kijana huyu ni kama vile namuona Julius Malema wa EFF.

Hakika ni kipaji na hazina kwa CHADEMA!

Mwenye CV ya kijana huyu wanajamvi naomba atuwekee humu.

Hakika shughuli ya kijana huyu imetulazimu CV yake ,amelinyima jeshi la polisi usingizi linahaha.
 
Habari wakuu,

Ni kijana ambaye mbunifu sana jasiri na asiyeyumbishwa kwa sasa ukiangalia mienendo ya kijana huyu ni kama vile namuona Julius Malema wa EFF.

Hakika ni kipaji na hazina kwa CHADEMA!

Mwenye CV ya kijana huyu wanajamvi naomba atuwekee humu.

Hakika shughuli ya kijana huyu imetulazimu CV yake ,amelinyima jeshi la polisi usingizi linahaha.

Taratibu NA huu utaratibu wa kuomba CV za watu hasa toka upande huo aliko Ole Sosopi.... Mtakija adhiri watu bure... Ohoo.......
 
Habari wakuu,

Ni kijana ambaye mbunifu sana jasiri na asiyeyumbishwa kwa sasa ukiangalia mienendo ya kijana huyu ni kama vile namuona Julius Malema wa EFF.

Hakika ni kipaji na hazina kwa CHADEMA!

Mwenye CV ya kijana huyu wanajamvi naomba atuwekee humu.

Hakika shughuli ya kijana huyu imetulazimu CV yake ,amelinyima jeshi la polisi usingizi linahaha.
Julius Malema?? Kwa hiyo unamtabiria jamaa kupotea vere soon au??
 
Mwenye cv ya ulimwengu ni yule bingwa wa kuratibu migomo lakini sasa ni miezi saba hajafanya lolote,ya huyo haisadii kitu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom