Ngongo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2008
- 18,895
- 31,106
Mkuu WildCard.
Ndiyo ushangae Mzee wa Kiraracha kaacha mark yake wizara ya mambo ya ndani hakuwa na degree/PhD.Wapo mawaziri wengi wenye shule za kutisha jiulize wamefanya nini !.
Ndiyo ushangae Mzee wa Kiraracha kaacha mark yake wizara ya mambo ya ndani hakuwa na degree/PhD.Wapo mawaziri wengi wenye shule za kutisha jiulize wamefanya nini !.
Mrema aliwahi kuwa NAIBU WAZIRI MKUU na Waziri wa Mambo ya ndani akiwa na darasa la nane tu na ukuruta wa UwT basi.