Hapana huyu kama hajaokotwa Haiti basi ni Bahati sana.Unahisi atakua kaokotwa wapi jombaa?
Au kule Tabata dambo?
Aloh!!Ana leseni daraja c la shirikisho la Tanzania TFF,amewahi kusoma maeneo haya,Karume Dar,Tabata na akaenda kula bata England..aliteuliwa kuifundisha Kilimanjaro juzi na imeambulia vipigo haswa..baada ya Hapa ataifundisha Barcelona ya Mabatini Mwanza..
PIA nasikia aliipandisha daraja timu ya kaburi1 ya chanika mwisho,ni timu ya wauza matikiti wa stand chanika!Ana leseni daraja c la shirikisho la Tanzania TFF,amewahi kusoma maeneo haya,Karume Dar,Tabata na akaenda kula bata England..aliteuliwa kuifundisha Kilimanjaro juzi na imeambulia vipigo haswa..baada ya Hapa ataifundisha Barcelona ya Mabatini Mwanza..
Tanzania haitakaa kuja kuendelea kisoka kama bado inatumia njia hizi za mkato. Mpira unataka matumizi sahihi ya sayansi yake. Mpira wa kutumia matunguli haujawahi kumuacha mtu salamaHuyu sijui kaokotwa wapi.....
Sasa sijui Watanzania tunataka nini. Tumeleta kocha kutoka Ulaya makusudi ili kuondokana na maswala ya ulozi (uchawi). Bado mnamhusisha kocha wa aina hiyo na mambo ya matunguli. Kama si kuogopa ban ningekutukana. Lakini there is always next time!Tanzania haitakaa kuja kuendelea kisoka kama bado inatumia njia hizi za mkato. Mpira unataka matumizi sahihi ya sayansi yake. Mpira wa kutumia matunguli haujawahi kumuacha mtu salama
Does he have qualifications to lead the team successful? Maana kutoka ulaya au kusoma ulaya sio kigezoSasa sijui Watanzania tunataka nini. Tumeleta kocha kutoka Ulaya makusudi ili kuondokana na maswala ya ulozi (uchawi). Bado mnamhusisha kocha wa aina hiyo na mambo ya matunguli. Kama si kuogopa ban ningekutukana. Lakini there is always next time!
Ɓacelona ni ƴa uhuru siƴo mabatiniAna leseni daraja c la shirikisho la Tanzania TFF,amewahi kusoma maeneo haya,Karume Dar,Tabata na akaenda kula bata England..aliteuliwa kuifundisha Kilimanjaro juzi na imeambulia vipigo haswa..baada ya Hapa ataifundisha Barcelona ya Mabatini Mwanza..