mwangalingimungu
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 1,300
- 732
Tutafanyaje kama kila Tom, Dick na Harry atakuwa na uwezo wa kuchagua kocha, kama kila Tom, Dick na Harry atakuwa na uwezo wa kumchagulia kocha wachezaji, kama kila Tom, Dick na Harry atakuwa mchambuzi wa mpira, na kama kila Tom, Dick na Harry atakuwa na uwezo wa kuchaguliwa Timu ya Taifa?That is where we get it wrong....kama kila Tom, Dick and Harry could do the job.