Kwani anaishi maisha ya nani? na hayo maisha yanakuhusuje wewe tu mpaka uache hoja inayojadiliwa?No Personal Attack,hiyo hoja inaeleweka na inazungumzika,may be hujui kipi kinaendelea katika hiki nikisemacho,
Wewe ndie mwenye personal Attack,kufikiri kwangu kinape nape na kisheikh ilunga ilunga kusikupe shida sana,
I told him to live his life,asipende sana kuchunguza chunguza maisha ya watu na kuyatangaza yake ni bora zaid ya wenzake,wenzake wanaish maisha yao,kama anakosoa its better kukosoa na kutupa ushahid,maisha ya kuwanga wanga na kutegemea kuziwekea chuki destiny za watu hazifanyi MUNGU kumpa yeye destiny bora,mifano kibao tunaiona humu ndan,
I told him to live his life,
There's no promise of a second time around,
There's no reason
why he shouldn't,everything is up to him,not you
Because i promise he'll regret it bro..