Nyalotsi
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 6,978
- 5,025
tafuteni watu wengine wa kuwasimanga kielimu..........lakini sio Dr. Hussein Mwinyi...........jamaa ana uwezo mkubwa darasani........semeni kingine lakini sio elimu yake.........
umeambiwa alipata four ya pcb aafu alikuwa familia nzuri,uwezo wake uko wapi? Ni wachache sana waliosoma nje ya tz wenye uwezo mzuri kama waliosoma tz. Hasa waliopelekwa na wazazi wao kwa kukosa uwezo wa kupewa program za kitaifa.