Wasifu wa Dkt. Hussein Mwinyi utata mtupu!

Nye mnaona tu hizo CV,wakati wa kuachia mamlaka ya nchi mtashangaa kuona ni watu wa aina gani waliongoza nchi
 
- Sawa sawa mkuu, balanced na imetulia sana!, labda tuseme mapungufu yake kiuongozi lakini siamini kwamba elimu yake ina utata hata kidogo!


William.
Boy oh boy

How can you confirm his educational path? We're you ever present in his life path?
 
Nadhani sasa tunakuwa too skeptical na (wakati mwingine) tunaacha kutumia busara ya kawaida. Hiyo CV inaonyesha dhahiri kuna makosa mengi ya kiuchapaji. Dr. Mwinyi ni daktari kwa kusomea na ni kweli hakufanya intern (ambayo sio lazima kama wakina Mponda na Pinda walivyotaka kuaminisha watu wakati wakimtuhumu Dr. Ulimboka; unless unataka kufanya clinical practice, yaaani kutibu binadamu). Halafu akasoma na kufanya mitihani uingereza na kutunikiwa FRCP- fellow of royal college of physician, hii ni " bodi" ambayo inakupa utambulisho wa kuweza kupractice medicne UK. Kuhusu utendaji, siwezi kusema atakuwa bora ya waliomtangulia, lakini madaktari wanmkumbuka kuwa ndiye aliyekuwa naibu waziri wakati wa mgomo mkubwa mwa 1995 (kama sijakosea), na alithubutu kwenda kuonana na madaktari ukumbi wa korea na kilichofuatia ni mishahara kuongezeka kwa 100%
 
Kwenye RED Dr. Mwinyi kasoma O level kwa miaka miwili tu inatia shaka sana kweli alikuwa genius huyu jamaa au mbwembwe zake za kubebwa na Baba yake.

-Azania Secondary Schoo/l O-Level Education/ 1981-1982 /SECONDARY jamani kuna ukweli kwenye hili au?
Inawezekana kama aliingia Azania akitokea nje ya nchi. Kwa kumbukumbu zangu baba yake aliwahi kuwa balozi wa Tanzania huko Cairo Misri. Na ktk kipindi hicho watoto wengi wa watumishi wa balozi zetu walirudishwa Tanzania ktk kubana matumizi ya serikali. Wengi walirushwa madarasa.
 
Nasikia ali 'disco' Muhimbili (enzi zile ikiwa chini ya UDSM) na ndiposa akakimbilia uturuki. Inaonesha wakati alikuwa anasoma Masters (sijui alikuwa anasoma MRCP???), wakati huo alikuwa anasoma PhD na wakati huo huo alikuwa ameajiriwa kama registrar hapo Muhimbili!!!

Wengine wanadai hakufanya internship Tanzania, kitu ambacho ni lazima kwa daktari, mfamasia au nesi yeyote aliyesoma nje ya Tanzania kwamba ni lazima afanye internship hapa kwetu, chini ya uangalizi wa wataalamu wa kitanzania. Wengine wanadai alifanya Internship Muhimbili, lakini hakumaliza.

Wasomi wa kitanzania bwana, utata mtupu!!!
EDUCATIONS
School Name/Location Course/Degree/Award Start Date End Date Level
Hammersmith Hospital, London, UK Masters (Medicine) 1991 1997 MASTERS DEGREE
Marmara University Medical School, Istanbul Turkey Doctor of Medicine 1985 1991 CERTIFICATE
Tambaza High School A-Level Education 1984 1985 HIGH SCHOOL
Azania Secondary School O-Level Education 1982 1984 SECONDARY
Manor House Junior School, Cairo, Egypt Primary Education 1977 1981 PRIMARY
Oysterbay Primary School Primary Education 1972 1976 PRIMARY
Hammersmith Hospital, London, UK PhD 1994 1997 PHD

Makubwa....Yaani O level kasoma miaka 2 tu,A Level kasoma mwaka mmoja tu!!!!! atakuwa kweli ni jiniazi.
Halafu mbona enzi zetu zile JKT ilikuwa ni lazima ujiunge!!!!!sasa huyu mwenzetu alijiunga lini? Hii kweli MADE IN TANZANIA
 
Watoto wa wakubwa husoma kikubwa hata Januari Makamba na Emanuel Nchimbi wana so kama hizi
 
I am afraid kwa sasa tumepata hii version, kama iko nyingine inayomuonesha kuwa competent zaidi ni vema ikawekwa hapa vinginevyo profile ya mtu ndiyo hivyo inaingia mchanga.

Profile ya Mtu haiwezi kuingia mchanga kwa mjadala wa CV ambayo ina utata mkubwa, kuna gaps ambazo analyst anaweza kuziona mara moja.

LA MUHIMU HAPA

Tuna Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA)

Maana kuna maswali eti Kasoma 'O' Level Miaka miwili?

Sasa cheti cha O level na cha A level anavyo; tena vya NECTA, au na huko alichakachuwa?

Undergraduate degree anayo na Masters anayo; watu wanaweza ku cross check na institution alizosoma.

Hii sio Pacific Western

Au Commonwealth University International

Sio mambo ya Profesa Warioba

Au Mary Nagu
 
Nijuavyo mimi ki ulaya huko registra ni msaidizi wa consultant. Yaani consultant anakuwa na timu yake na msaidizi wake namba moja ni reg.

Doctor anapata cheo cha u reg.
Uwezi kuwa reg kama haujahitimu kuwa dr.

Oyaa mie sio dr. Ni nijuavyo.
 
Acheni mchecheto nyie. Kama hiyo CV imetolewa kwenye website ya Bunge, basi ni wazi hizo ni tarehe tu zitakuwa zimekosewa na Data Entry Clerk au Webmaster sababu ya njaa zake, unless kama kuna mtu yoyote mwenye ushahidi zaidi ya hizo tarehe. Tushazoea kila mara watu wanakuja na maada kama hizi kudadisi CV za Wanasiasa kutokana na tarehe zisizoendana kama zinavyoonekana kwenye tovuti ya Bunge.
 
huyu jamaa kaelimu kake ni kamashaka kama kasoma kweli atoe ufafafuzi au ana elimu ya makamba nini?aliyeko magamba kwa definition ya elimu yaani transfering of knowledge na yupo magamba mi naona amesoma ila ni mjinga hata kama ni profesa xo ni haki yake huyu kuwa na cv ya kinyonga
 
Hivi hii tabia ya kulipana fadhila kwenye haka kanchi kataisha lini.Hawa washauri wa baba Riz1 wanamshauri nini wakisikia mtu anaitwa dokta tu wao wanakurupuka kumpatia nafasi kwa elimu ya kuungaunga tu.
Makame, hamna mtu aliyechakachua hii CV, hapa imecopiwa kama ilivyo kwenye tovuti ya Bunge, ndo maana nikasema kwamba yafaa Mh mwenyewe aje jamvini aipambanue!
 
Cv ya kinyonga o level miaka miwili hahahha hata china haipo iyo tutafute labda sayari ya pluto
 
Nasikia ali 'disco' Muhimbili (enzi zile ikiwa chini ya UDSM) na ndiposa akakimbilia uturuki. Inaonesha wakati alikuwa anasoma Masters (sijui alikuwa anasoma MRCP???), wakati huo alikuwa anasoma PhD na wakati huo huo alikuwa ameajiriwa kama registrar hapo Muhimbili!!!

Wengine wanadai hakufanya internship Tanzania, kitu ambacho ni lazima kwa daktari, mfamasia au nesi yeyote aliyesoma nje ya Tanzania kwamba ni lazima afanye internship hapa kwetu, chini ya uangalizi wa wataalamu wa kitanzania. Wengine wanadai alifanya Internship Muhimbili, lakini hakumaliza.

Wasomi wa kitanzania bwana, utata mtupu!!!


habari umeshasema NASIKIA
!!!! basi hazina uhakika wowote ....
 
MIMI NINAVYOFAHAMU NI KWAMBA DKT MWINYI AMESOMA COMPETENTLY NA NI QUALIFIED PHYSICIAN. Ama kuhusu hii CV sina uhakika ni nani kaichakachua. Kazi yake aliyokuwa akiifanya kabla ya kuanza siasa mwaka 2000 ilikuwa ni Mhadhiri, uhadhiri hauendani na uchakachuaji wa elimu

umeona mkuu!! wanajaribu saaaana!!! kutafuta tundu katika CV yake hawapati! wamesha edit pia eti kasoma secondary o-leval miaka miwili ..!! ililetwa CV ya yule anaijiita mwanasheria wa CDM ilikuwa na utata mtupu!!
 
Acheni mchecheto nyie. Kama hiyo CV imetolewa kwenye website ya Bunge, basi ni wazi hizo ni tarehe tu zitakuwa zimekosewa na Data Entry Clerk au Webmaster sababu ya njaa zake, unless kama kuna mtu yoyote mwenye ushahidi zaidi ya hizo tarehe. Tushazoea kila mara watu wanakuja na maada kama hizi kudadisi CV za Wanasiasa kutokana na tarehe zisizoendana kama zinavyoonekana kwenye tovuti ya Bunge.[/QUOTE

Kuna haja ya wabunge kupita kwenye tovuto na kupitia cv zao kama hawaridhiki na kilichoandikwa yafanyike marekebisho kulikoni kuendelea kusomeka makosa kama kweli zimekosewa
 
- Sawa sawa mkuu, balanced na imetulia sana!, labda tuseme mapungufu yake kiuongozi lakini siamini kwamba elimu yake ina utata hata kidogo!


William.
Kwanini unasema iko balanced, kawa mhadhiri wapi Kariuki? Au kwakuwa CV ni kama ile?
Hamna lolote ni kuchakachua tu, huyu kabebwa na ni mkondo uleule lazima utetee!
 
Back
Top Bottom