CV ya Anna Makinda (spika wetu) ni hii HAPA

Status
Not open for further replies.
Upande mwingine wa wasifu wa mama Anna Makinda, amekuwa body member wa mashirika na makampuni 7 tofauti kwa kipindi cha kati ya miaka 6 mpaka 7. Na mbaya zaidi ndiyo makampuni yaliyouzwa kutokana na ufanisi wake kuporomoka. Kwa maana nyepesi alichangia katika kuboroka kwa makampuni hayo na hivyo kusaidia kudhoofisha uchumi.
 
SalutationHonourableMember picture
1268.jpg
First Name: Anne
Middle Name:Semamba
Last Name:Makinda
Member Type:Constituency Member
Constituent:Njombe Kusini
Political Party:CCM
Office Location:P.O. Box 6958,DAR ES SALAAM
Office Phone: +255 754 465226/+255 784 465226
Ext.:
Office Fax:
Office E-mail:
Member Status:
Date of Birth

EDUCATIONS
School Name/Location Course/Degree/Award Start DateEnd DateLevel
Institute of Development & Management - MorogoroAdministration Course19711975ADV DIPLOMA
Kilakala Girls' Secondary School(Marian College)A-Level Education19691970HIGH SCHOOL
Masasi Girls' Secondary SchoolO-Level Education19651968SECONDARY
Peramiho Girls' Middle SchoolPrimary Education19611964PRIMARY
Uwemba Primary SchoolPrimary Education19571960PRIMARY

CERTIFICATIONS
Certification Name or TypeCertification No. IssuedExpires

EMPLOYMENT HISTORY
Company Name Position From DateTo Date
-Regional Commissioner19952000
Ministry of Community Development, Women Affairs and ChildrenMinister19901995
State,Prime Minister's & First Vice President OfficeCoordination of Union Matters19831990
State,Prime Minister's & First Vice President OfficeIn charge of Central Government Coordination19831990
Tanzania GovernmentIn charge of Information and Broadcasting19831990
State,Prime Minister's & First Vice President OfficeMinister19831990
National Bank of CommerceBoard Member19781983
Surveyors Building Contractors ConsultantsBoard Member19781983
Tanzania Railways CorporationBoard Member19771983
Tanzania Legal CorporationBoard Member19771983
Mbeya Textile CompanyBoard Member19771983
National Textile CompanyBoard Member19761983
Tanzania Elimu SuppliesBoard Member19761983
The Public Accounts Committee of the ParliamentMember19751983
Tanzania Audit CorporationAuditor19751976
The Institute of Development Management-MzumbeBoard Member19711976

POLITICAL EXPERIENCE
Ministry/Political Party/LocationPositionFromTo
CCM-Chama Cha MapinduziMember of National Executive Council1977Todate
TANU/CCM-Chama Cha MapinduziTen Cells Leader19751983
TANUChairman -Youth League-IDM, Mzumbe19711975
TANUChairman -Youth League-Kilakala19691970
TANUChairman of Youth League19651968

PUBLICATIONS
DescriptionPublished Date

SPECIAL SKILLS
Skill Name or DescriptionYears ExperienceAcquired ThroughSkill Level

RECOGNITIONS
Recognition Type Recognition DateReasonAction TakenIssued by
Tusishabikie sana CV za watu, tuangalie performance!.
Kwani kina King Solomon, Soctates na Plato walikuwa na CV kali?.
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Hizo sehemu mbili nyekundu, there has to be a mistake - aliwezaje kuwa Board member wakati akiwa mwanafunzi katika chuo hichohicho?

Duh! ama kweli wa-TZ sasa nomaaaa.... kwani wanafuatilia ile mbaya. Yaani mmegundua kuwa amefoji mpaka CV? Ila jamani kajitahidi kudanganya kidogo sasa mlitaka hata watoto wadogo wamzidi elimu na uzoefu... Any way hiyo ndo tabia ya MAGAMBA.

sasa ona hii!!

Elimu ya msingi ( CCM )
1. Deo Kasenyenda Sanga ( JAH PEOPLE) -Njombe kaskazini, Iringa
2. Lameck Okambo Airo - Rorya Mara
3. Luckson ndaga Mwanjale - kujiendeleza-Mbeya vijijini ( Sijui kamaliza msingi au? )
4. hussein Nassor Amar - Nyang'wale , Mwanza
5. stephen Ngonyani - Korogwe Vijijini, Tanga
6. Lussinde Livingstone J. - Mtera, Dodoma
7. Aeshi Khalfan Hilaly - Sumbawanga mjini, Rukwa

Elimu ya Sekondari. Kidato cha Nne

1. Jeremiah Solomon Sumari Nne/ IV Arumeru Mashariki, Arusha
2. Michael Lekule Laizer Nne/ IV Longido, Arusha
3. Hassasn Mohamed Mgimwa Nne/ IV Mufindi Kaskazini, Iringa
4. Assumpter Nshuju Mshama Nne/ IV Nkenge, Kagera
5. Kifu Gulam H. Shabani Nne/IV Kigoma Kusini, Kigoma
6. Jitu Vrajil Soni Nne/IV Babati Vijijini, Manyara
7. Aziz Mohamed ABOOD Nne / IV Morogoro mjini, Morogoro
8. SHABIBY Ahmed Mabukhut Nne/ IV Gairo, Morogoro
9. Innocent Kalogeris Nne/ IV Morogoro kuisini, Morogoro
10.Abdulsalaam uleiman Sas Nne/ IV Mikumi, Morogoro
11. Abdul Rajabu Mteketa Nne/ IV Kilombero, Morogoro
12. Murji Hasnain Mohamedi Nne/ IV Mtwara Mjini, Mtwara
13. Dunstan daniel Mkapa Nne/ IV Nanyumbu, Mtwara
14. Richard Mganga Ndasa Tatu/ III Sumve, Mwanza
15. Mtutura Abdallah Mtutura Nne/I V Tunduru kusini, Ruvuma
16. Ismail Aden Rage Nne/ IV Tabora, Tabora
17. Said Juma Nkumba Nne/ IV Sikonge, Tabora
18. Sumar Shaffin Mamlo Nne/ IV Tabora kaskazini, Tabora
19. Henry Daffa Shekifu Nne/ IV Lushoto, Tanga
20. Brig. Gen Hassan Ngwilizi Nne/ IV Mlalo, Tanga
21. Idd Mohamed Azzan Nne/ IV Kinondoni, Dar es Salaam
22. Mussa Azzan Zungu Chuo cha anga..!!!?? Ilala, Dar-es-Salaam
23. Mtemvu Abbas Zuberi Nne/IV Temeke, Dar-es-Salaam
24. Faith M. Mitambo Nne/ IV Liwale, Lindi
25. Mohamedi Abdulazizi Nne/ IV Lindi Mjini, Lindi - Hakupita
26. Abdulkarim E. Shaha Nne/ IV Mafia, Pwani
27. Malocha Aloyce Ignace Nne/ IV Kwela, Rukwa
28. Ally Mohd Kessy Nne/ IV Nkasi kaskazini, Rukwa
29. Deusderius Mipata Nne/ IV Nkasi kusini, Rukwa
30. Nchambi Seleman Massoud Nne/ IV Kishapu, Shinyanga
31. James Daudi Lembeli Nne/ IV Kahama, Shinyanga
32. Ahmed Ally Salum Nne / IV Solwa, Shinyanga
33. Christopher Ole Sendeka Nne/IV Simanjiro, Manyara
34. Kisena Robert simon Nne/ IV Maswa Magharibi, Shinyanga

35. Sebastian simon Kapufi Sita / VI Mpanda kati, Rukwa
36. Bwanausi dismas Jerome Sita/ VI Lulindi, Mtwara
37. Dickson Modestus Kilufi Sita/ VI Mbarali, Mbeya

MI SIMO!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Duh, kweli hiyo CV ya mama iko very poor. Sijui aliandikiwa au ni yeye mwenyewe?? Hiyo Administration course (Mzumbe) ndiyo nini tena?? Watu wa Mzumbe tusaidieni. Au ilikuwa siku zile?? Halafu Mwanamke anajiitaje Chairman badala ya Chairperson ambayo kila mtu siku hizi anatumia?? No wonder Sitta alimponda!!

Kweli hii ni aibu kubwa kwa mhimili wa Bunge yaani hata ofisi ya bunge akina Dr. Kashilila wameshindwa kumnyooshea
hicho kiingereza kwamba because of gender sensitivity mwenyekiti anakuwa refer as Chairperson not Chairman?
 
Haa! Kumbe Ole Sendeka ni form 4, na mbona huwa anajidai kuongea kwa nguvu na kuitetea ccm kwa Hoja dhaifu mie nikadhani ana bachelor ya sheria kumbe naye hakuna kitu. Ila Rage nimeona Cv yake sio form 4 ana Certificate in Accounts Shinyanga school of Business. Nadhani hii ndo Shaycom kwa sasa.
 
Kama alisoma Administration Course (which I doubt kama Mzumbe walishawahi kutoa kozi ya aina hii)
Je aliwezaje kuwa Mhasibu (Auditor)? Hii CV imechakachuliwa.
 
Hizo sehemu mbili nyekundu, there has to be a mistake - aliwezaje kuwa Board member wakati akiwa mwanafunzi katika chuo hichohicho?

this is very strange, a fresh first year student to be a board member of the same College!!!!! may be because she was a Boss of TANU youth league
 
Duh! ama kweli wa-TZ sasa nomaaaa.... kwani wanafuatilia ile mbaya. Yaani mmegundua kuwa amefoji mpaka CV? Ila jamani kajitahidi kudanganya kidogo sasa mlitaka hata watoto wadogo wamzidi elimu na uzoefu... Any way hiyo ndo tabia ya MAGAMBA.

sasa ona hii!!

Elimu ya msingi ( CCM )
1. Deo Kasenyenda Sanga ( JAH PEOPLE) -Njombe kaskazini, Iringa
2. Lameck Okambo Airo - Rorya Mara
3. Luckson ndaga Mwanjale - kujiendeleza-Mbeya vijijini ( Sijui kamaliza msingi au? )
4. hussein Nassor Amar - Nyang'wale , Mwanza
5. stephen Ngonyani - Korogwe Vijijini, Tanga
6. Lussinde Livingstone J. - Mtera, Dodoma
7. Aeshi Khalfan Hilaly - Sumbawanga mjini, Rukwa

Elimu ya Sekondari. Kidato cha Nne

1. Jeremiah Solomon Sumari Nne/ IV Arumeru Mashariki, Arusha
2. Michael Lekule Laizer Nne/ IV Longido, Arusha
3. Hassasn Mohamed Mgimwa Nne/ IV Mufindi Kaskazini, Iringa
4. Assumpter Nshuju Mshama Nne/ IV Nkenge, Kagera
5. Kifu Gulam H. Shabani Nne/IV Kigoma Kusini, Kigoma
6. Jitu Vrajil Soni Nne/IV Babati Vijijini, Manyara
7. Aziz Mohamed ABOOD Nne / IV Morogoro mjini, Morogoro
8. SHABIBY Ahmed Mabukhut Nne/ IV Gairo, Morogoro
9. Innocent Kalogeris Nne/ IV Morogoro kuisini, Morogoro
10.Abdulsalaam uleiman Sas Nne/ IV Mikumi, Morogoro
11. Abdul Rajabu Mteketa Nne/ IV Kilombero, Morogoro
12. Murji Hasnain Mohamedi Nne/ IV Mtwara Mjini, Mtwara
13. Dunstan daniel Mkapa Nne/ IV Nanyumbu, Mtwara
14. Richard Mganga Ndasa Tatu/ III Sumve, Mwanza
15. Mtutura Abdallah Mtutura Nne/I V Tunduru kusini, Ruvuma
16. Ismail Aden Rage Nne/ IV Tabora, Tabora
17. Said Juma Nkumba Nne/ IV Sikonge, Tabora
18. Sumar Shaffin Mamlo Nne/ IV Tabora kaskazini, Tabora
19. Henry Daffa Shekifu Nne/ IV Lushoto, Tanga
20. Brig. Gen Hassan Ngwilizi Nne/ IV Mlalo, Tanga
21. Idd Mohamed Azzan Nne/ IV Kinondoni, Dar es Salaam
22. Mussa Azzan Zungu Chuo cha anga..!!!?? Ilala, Dar-es-Salaam
23. Mtemvu Abbas Zuberi Nne/IV Temeke, Dar-es-Salaam
24. Faith M. Mitambo Nne/ IV Liwale, Lindi
25. Mohamedi Abdulazizi Nne/ IV Lindi Mjini, Lindi - Hakupita
26. Abdulkarim E. Shaha Nne/ IV Mafia, Pwani
27. Malocha Aloyce Ignace Nne/ IV Kwela, Rukwa
28. Ally Mohd Kessy Nne/ IV Nkasi kaskazini, Rukwa
29. Deusderius Mipata Nne/ IV Nkasi kusini, Rukwa
30. Nchambi Seleman Massoud Nne/ IV Kishapu, Shinyanga
31. James Daudi Lembeli Nne/ IV Kahama, Shinyanga
32. Ahmed Ally Salum Nne / IV Solwa, Shinyanga
33. Christopher Ole Sendeka Nne/IV Simanjiro, Manyara
34. Kisena Robert simon Nne/ IV Maswa Magharibi, Shinyanga

35. Sebastian simon Kapufi Sita / VI Mpanda kati, Rukwa
36. Bwanausi dismas Jerome Sita/ VI Lulindi, Mtwara
37. Dickson Modestus Kilufi Sita/ VI Mbarali, Mbeya

MI SIMO!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!


nahisi umeweka hata wagombea ambao hawakupata Ubunge......huyo fisadi number 34 siyo Mbunge ila ana sifa y ufisadi.....ndiye aliyejitwalia UDA na pia amejitwalia 5Billion pale TIB(kama ilivyothibitishwa na MD wa TIB kwa kamati ya Bunge)
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Una maakili sana mtu wangu ila angalia utavopata upinzani...bunge tbc sasa hivi ccm hawachangii mjadala bali ni kuikashifu chadema na wabunge wao ambao wanawakilisha isia na fikra za watu wao wao wanafanya longolongo yani sio mjadala wa katiba bali ni kashfa na ubakaji wa democrasia angalia tbc ndio utaamini kuwa hakuna kitakacho pingwa na ndio itakuwa ivo itavotokea maana sio watanzania wala viongozi walio wengi wanaotenda wanayotamani kwa maslahi ya taifa ni wachache sana na wabaya zaidi na ambao walio wengi ni watanzania ila wamejengewa woga ambao wao wanautafsiri kuwa ndio amani...ila siku ikatokea wakaamua kutoka ndani bila kuwa na ule woga basi ndio itakuwa mwisho wa kubakwa kisheria na wakiamua kulala ndani basi ndio watakuwa wameamua kulawitiwa baada ya muda mrefu wa kubakwa kisheria. Tumia nafasi yako kwa maslahi ya kizazi chako na sio yako tuu....



jamani naomba kuelimishwa maana haya masaburi ya magamba yanatia kichefuchefu.

Hivi mtu kuteuliwa kuwa board member wa shirika fulani, hiyo tayari inakuwa
employment opportunity? Kama tuna spika ambaye hawezi kuandika hata cv
yake vizuri, kweli spika wa aina hii anaweza kusimamia suala nyeti kama la
uandikaji wa katiba mpya?

No wonder sitta(?)/msekwa(?) alimshauri at least aende akasome ka-degree
ka sheria. Amejaribu kuijaza nyama cv yake finaly ameishia kuanika masaburi
yake nje. Talk about kuzika kichwa kwenye mchanga .... (mbuni style).
 
Administration Course19711975ADV DIPLOMA
Hahahaha Dah haya bwana kumbe mama yetu mkuu wa spika mwisho wa kuwa na lactural ni 1975 tena Diploma na bunge ni mawsala ya sheria zaidi sasa ndio inakuwa vipi apa....? huyu mtu wa Diploma amuongoze PHD jamani? tunamlaumu spika bure kwa uendeshaji wake wa bunge wakati tunajua mapungufu yake? hongera mama mwenye spika kwa kutumia maujuzi yako zaidi ya elimu yako...
 
Nkiwa O Level izo CV ya Anne vs Lissu naingiza katika maswali ya compare na contrast utaona chuya ikitenga na pumba
Wekeni na ya Ole Sendeka pls nina hamu nayo
 
Amesoma ADCA(adv.dip certified accountancy)mzumbe ni classmate wa L.utoah,staff wa bunge ndio huwa wanapost hizo CV kwenye database na wanakosea sana...
 
Nkiwa O Level izo CV ya Anne vs Lissu naingiza katika maswali ya compare na contrast utaona chuya ikitenga na pumba
Wekeni na ya Ole Sendeka pls nina hamu nayo

Ilewekwa awali na ndugu mmoja...

By Mzito Kabwela
GENERAL
SalutationHonourableMember picture
1387.jpg
First Name:Christopher
Middle Name:Olonyokie
Last Name:Ole-Sendeka
Member Type:Constituency Member
Constituent:Simanjiro
Political Party:CCM
Office Location:P.O.Box 14384, Arusha
Office Phone:+255 768 300000
Ext.:
Office Fax:
Office E-mail:
Member Status:
Date of Birth


EDUCATIONS
School Name/LocationCourse/Degree/AwardStart DateEnd DateLevel
Naberera Primary SchoolPrimary Education19741980PRIMARY
Monduli Secondary SchoolO-Level Education19811984SECONDARY
Oldmoshi High SchoolA-Level Education19851987HIGH SCHOOL
MS.TCDC & Kimage Manor College (IRELAND)Community Development Course19951997DIPLOMA
 
Jamani naomba kuelimishwa maana haya masaburi ya magamba yanatia kichefuchefu.

Hivi mtu KUTEULIWA kuwa BOARD MEMBER wa shirika fulani, hiyo tayari inakuwa
employment opportunity? Kama tuna SPIKA ambaye hawezi kuandika hata CV
yake vizuri, kweli Spika wa aina hii anaweza kusimamia suala nyeti kama la
uandikaji wa katiba mpya?

No wonder Sitta(?)/Msekwa(?) alimshauri at least aende akasome ka-degree
ka sheria. Amejaribu kuijaza nyama CV yake finaly ameishia kuanika masaburi
yake nje. Talk about kuzika kichwa kwenye mchanga .... (Mbuni style).

Nina imani wewe unaelewa maana ya cv na hapa umeamua tu kuja na hoja ya nguvu na si nguvu ya hoja (punguza asira tafakari kwanza)
 
If the truth be told : of rude mechanicals and lacks tact the hallmark of a true speaker.
 
Chaguzi za chuo zinafanyika baada ya walau temu ya kwanza toka kufungua chuo. Ni aghalabu sana kwa mwanafunzi wa mwaka wa kwanza kuwa rais wa serikali ya wanafunzi. Tena kwa kukukumbusha tu baada ya kumaliza form six, alitakiwa kwa mujibu wa sheria kwenda JKT mwaka mmoja. So far angetoka jeshini june,1971. Hivi aliwezaje kuwa rais wa serikali ya wanafunzi IDM akiwa njuka?

Ukitazama kwenye "Political Experience" imeandikwa kuwa alikuwa "Chairman (Chairperson)" wa Youth league katika kipindi hicho hicho. huenda ndiyo Ticket aliyoingia nayo. Sina taarifa sahihi kuhusu habari za JKT, hivyo sina maoni yoyote (Mzee wangu alikwenda JKT akitokea Kazini miaka karibu 12 tangu atoke UD). Kumbuka kwamba hawa ni "batch" ya kwanza pale IDM (correct me if you can), kwa hiyo hoja ya kuwa Kiongozi vs Njuka inajifia yenyewe.
 
You made my day!!! Ila sijaelewa intention haswa ya kuweka CV yake hapa ni ili nini?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom