Customer care wa Airtel mbona mnamajibu mabovu hivyo?

seduceme

Member
Oct 2, 2017
46
45
Wadau nisiende na story

Nimerushiwa 2000 na wakala, ikaingia meseji kua wamenipa airtime bonus ya 3000 na salio wakalilamba lote eti jimelipa deni.... nikapanick nikapiga CC akapokea mdada mmoja, majibu yake sasa mwee.

Nikaona sio shida wakati wanasolve io ishu acha niweke vocha ingine. Nikarushiwa buku wakalamba tena 200 ikabaki mia nane.

Nikaona sio kesi ngoja nijiunge UNI255 ya mia tano. Kila nikiunga naambiwa sina salio. Kucheki nina zero. Data ilikua off na sijampigia mtu wala kutuma meseji.
Napiga customer service tena niongee nao. Nakuta wameflag namba yangu nikipiga naambiwa eti watoa huduma wanaongea na sim zingine.

This is too much
 
Hata tigo pia, hao jamaa wanakiburi sana, ukihitaji msaada wanakujibu kuwa hilo ni tatizo lako wao haliwahusu.
 
Tatizo Bongo Customer care 0.
Yani akishaajiliwa akawa pale kwenye AC anakuwa anaona anakupa msaada kama fadhila bila kujua ni wajibu wake na uwepo wako unafanya apate mshahara
 
Wadau nisiende na story

Nimerushiwa 2000 na wakala, ikaingia meseji kua wamenipa airtime bonus ya 3000 na salio wakalilamba lote eti jimelipa deni.... nikapanick nikapiga CC akapokea mdada mmoja, majibu yake sasa mwee.

Nikaona sio shida wakati wanasolve io ishu acha niweke vocha ingine. Nikarushiwa buku wakalamba tena 200 ikabaki mia nane.

Nikaona sio kesi ngoja nijiunge UNI255 ya mia tano. Kila nikiunga naambiwa sina salio. Kucheki nina zero. Data ilikua off na sijampigia mtu wala kutuma meseji.
Napiga customer service tena niongee nao. Nakuta wameflag namba yangu nikipiga naambiwa eti watoa huduma wanaongea na sim zingine.

This is too much
Ama wasikuzingue, mitandao mingi sana siku hizi
 
Hata tigo pia, hao jamaa wanakiburi sana, ukihitaji msaada wanakujibu kuwa hilo ni tatizo lako wao haliwahusu.
Kuna haja ya kuwa na somo la lazima katika shule zetu na kuwe na certificate inayojitegemea kwa somo hili! Sitasahau nilijibiwa jibu moja hilo na mhudumu wa benki moja pale Arusha mjini KCB clocktowere kisa majina yangu kwenye passport na nilikuwa nadharula ya kutoa pesa kwa western union! "Unatuletea passport unadhani ndio nitatishika wee vipi? Kafute hayo majina mengine" sasa nikamuuliza, mbona majina yoote kwenye passport ni yangu? Ndio nikawa nimeharibu "We bwana toka hapa kuna watu muhimu wa kuwahudumia ondoa foleni" nikamjibu nashukuru sana nikajiendea posta wakanipa fedha yangu!
 
Bongo hatujui kabisa Customer care,ila kwa kipindi hiki cha AnkalPombe kuna vidispline kwenye baadhi ya ofisi za gvt ila huku kwa upande wa pili ndio wamejisahau.
Kwanza wanachua pesa zetu za kutoxha ila huduma lugha mbovu cha msingi mtu kama unaona unapata kamtandao ka bei chee we zama tu Mkuu
 
Hakuna customer care mbovu km ya Airtel na tigo. Huwa hawana msaada wwte. Km tigo kila siku wanapunguza vifurushi vyao nina mwaka sasa sijaweka vocha ya tigo na sina mpango wwte.
Angalau voda ukiwapigia faster tu simu yako inapokelewa, lkn Airtel mpaka simu yako ipokelewe itakuchukua masaa 2 au 3. Ovyo sana hao watu, halafu wanakata 100 unapowapigia airtel customer care
 
Kuna haja ya kuwa na somo la lazima katika shule zetu na kuwe na certificate inayojitegemea kwa somo hili! Sitasahau nilijibiwa jibu moja hilo na mhudumu wa benki moja pale Arusha mjini KCB clocktowere kisa majina yangu kwenye passport na nilikuwa nadharula ya kutoa pesa kwa western union! "Unatuletea passport unadhani ndio nitatishika wee vipi? Kafute hayo majina mengine" sasa nikamuuliza, mbona majina yoote kwenye passport ni yangu? Ndio nikawa nimeharibu "We bwana toka hapa kuna watu muhimu wa kuwahudumia ondoa foleni" nikamjibu nashukuru sana nikajiendea posta wakanipa fedha yangu!
Majitu mengine sjui yanaokotwa wapi, especially ndugu zetu kina dada. (No offense intended)
 
Hakuna customer care mbovu km ya Airtel na tigo. Huwa hawana msaada wwte. Km tigo kila siku wanapunguza vifurushi vyao nina mwaka sasa sijaweka vocha ya tigo na sina mpango wwte.
Angalau voda ukiwapigia faster tu simu yako inapokelewa, lkn Airtel mpaka simu yako ipokelewe itakuchukua masaa 2 au 3. Ovyo sana hao watu, halafu wanakata 100 unapowapigia airtel customer care
Hii ujinga wanafanya ukishawaambia tatizo, wanasema tupigie baadae alafu ukipiga unaambiwa simu hii itatozwa shilingi 100. Nashindwa kuelewa ni ili nisipate msaada au kampuni imefulia?
 
Umewahi kufanya kazi customer care?
Mimi ni PR, kwahiyo naona tatizo kubwa lililopo hasa kwa wafanyakazi wa kampuni nyingi, uwa wanahudumia wateja wakihisi kama wanawafanyia fadhira kumbe ni wajibu wao kuwahudumia na kuwasikiliza..
 
Wadau nisiende na story

Nimerushiwa 2000 na wakala, ikaingia meseji kua wamenipa airtime bonus ya 3000 na salio wakalilamba lote eti jimelipa deni.... nikapanick nikapiga CC akapokea mdada mmoja, majibu yake sasa mwee.

Nikaona sio shida wakati wanasolve io ishu acha niweke vocha ingine. Nikarushiwa buku wakalamba tena 200 ikabaki mia nane.

Nikaona sio kesi ngoja nijiunge UNI255 ya mia tano. Kila nikiunga naambiwa sina salio. Kucheki nina zero. Data ilikua off na sijampigia mtu wala kutuma meseji.
Napiga customer service tena niongee nao. Nakuta wameflag namba yangu nikipiga naambiwa eti watoa huduma wanaongea na sim zingine.

This is too much



Majibu yao ya hovyo ni defensive mechanism, huwa hawajiamini na wanajibu hovyo wakijua wana deal na mteja yuleyule kila siku, binafsi niliwahama, nilikwenda kurenew line, wnanambia nijaze form kwa mara ya mwisho niliweka salio la shilingi ngapi na ilikuwa tarehe ngapi, nilimpigia nani, na nikabaki na salio kiasi gani, nilivyowaambia sikumbiki hata kimoja wakanambia nenda kakumbuke then uje, ikawa ndiyo mwisho wa kutumia huo mtandao
 
Majitu mengine sjui yanaokotwa wapi, especially ndugu zetu kina dada. (No offense intended)
Cha ajabu ndugu yule aliyenijibu vibaya vile ni mwanaume! Kuna shida kubwa sana tena sana tu kwenye haya mabenki
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom