Dona Kantri
JF-Expert Member
- Dec 13, 2012
- 346
- 115
Wanabodi
Ninahitaji kuongea na customer care wa tanesco wanipe ufafanuzi juu ya bei zao mpya na makato ya service line, kwa yeyote anaejua namba yao ya maulizo naomba anisaidie au yeyote anaejua gharama mpya za tanesco anijuze kwani nahisi nimeibiwa, naomba ndugu zangu mnitoe porini mniweke barabarani.
Ahasanteni in advance.
Ninahitaji kuongea na customer care wa tanesco wanipe ufafanuzi juu ya bei zao mpya na makato ya service line, kwa yeyote anaejua namba yao ya maulizo naomba anisaidie au yeyote anaejua gharama mpya za tanesco anijuze kwani nahisi nimeibiwa, naomba ndugu zangu mnitoe porini mniweke barabarani.
Ahasanteni in advance.