Customer care airtel ni mbovu mno...........

The Boss

JF-Expert Member
Aug 18, 2009
49,110
115,884
kila mtu anafahamu ni mabilioni mangapi haya makampuni ya simu yanatumia

kwenye matangazo na ushindani wa kugombea wateja.....

sasa ajabu kampuni ya airtel ambao wanazidiwa wingi wa wateja na vodacom na tigo

wamewaweka wadada jeuri na wasiojua kabisa maana ya customer care

sijawahi kukosa raha au kukasirishwa na customer care ya kampuni ya tigo..

kila mara nikiwapigia wako makini na wanakujibu vizuri mno...but sio airtel

nilikuwa na tatizo la internet connection kwa modem ya airtel
nikawapigia simu

kwanza mdada mmoja anaeitwa Uli au Tuli alinijibu tu subiri,halafu akakata simu

nikapiga tena akapokea mwingine anaitwa Regina huyu nae hivyo hivyo anasema subiri
halafu anakata.mwisho akasema nitakupigia au kukutima sms but kimya
huku akionekana yuko bize na kupiga story na vicheko navisikia....hakuna walichonisaidia..
hata kunipa majibu ya maswali mepesi tu wameshindwa.....

sijui wamewatoa wapi hawa watu......SO FAR KWA CUSTOMER CARE kwa upande wangu TIGO
WAKO JUUU SANA...
 
kila mtu anafahamu ni mabilioni mangapi haya makampuni ya simu yanatumia<br />
<br />
kwenye matangazo na ushindani wa kugombea wateja.....<br />
<br />
sasa ajabu kampuni ya airtel ambao wanazidiwa wingi wa wateja na vodacom na tigo<br />
<br />
wamewaweka wadada jeuri na wasiojua kabisa maana ya customer care<br />
<br />
sijawahi kukosa raha au kukasirishwa na customer care ya kampuni ya tigo..<br />
<br />
kila mara nikiwapigia wako makini na wanakujibu vizuri mno...but sio airtel<br />
<br />
nilikuwa na tatizo la internet connection kwa modem ya airtel<br />
nikawapigia simu<br />
<br />
kwanza mdada mmoja anaeitwa Uli au Tuli alinijibu tu subiri,halafu akakata simu<br />
<br />
nikapiga tena akapokea mwingine anaitwa Regina huyu nae hivyo hivyo anasema subiri<br />
halafu anakata.mwisho akasema nitakupigia au kukutima sms but kimya<br />
huku akionekana yuko bize na kupiga story na vicheko navisikia....hakuna walichonisaidia..<br />
hata kunipa majibu ya maswali mepesi tu wameshindwa.....<br />
<br />
sijui wamewatoa wapi hawa watu......SO FAR KWA CUSTOMER CARE kwa upande wangu TIGO<br />
WAKO JUUU SANA...
<br />
<br />
Bora Mkuu umepata wa afadhali. Binafsi sijaona mbadala. Wote wezi tu!
 
Customer Care zamani katika Company zooote za simu zilikua ni bora saana toka na kwamba walikua wanasimamiwa na Kampuni husika... i.e Customer care Voda/Zain/Tgo walikua wanasimamiwa na kampuni yenyewe ya simu... but saizi wamegundua hii ya kubinafsisha sector ya Customer care - WAMEHARIBU Viwango vimeshuka saaana sababu hizo kampuni ndogo zinawachakachua saana hao Customer care agents (e.g Euro Link Via Vod)... Hio imesababisha quality ya huduma kudorora.... Too bad.
 
Boss one thing you should know ni kuwa kwa sasa kitengo cha Customer Care Airtel kimekuwa outsourced kwa wahindi ambao hawana ujuzi wa haya mambo kama zamani mtu alikuwa analipwa mshahara wa 700,000 sasa hivi unakuta anapewa less than that kuna wafanyakazi wengi walikuwa wanafanya kazi kwenye Customer Care wameacha hata ufanisi umeshuka tofauti na zamani
 
tuwasamehe tu maana wa tz woooote sisi ni wababaishaji tu. siasa imetukaa vichwani....... kama tunachakachua mafuta ndo iwe kazi?? mkuu potezea....hata useme na mate yakauke lakini hakuna anayeelewa.
 
Back
Top Bottom