FAP lock iko vipi ?Hiyo simu ni yako kweli?
Imekuwaje umesahau e-mail uliyotumia ktk simu yako?
Maana FRP huwa inazuia mtu kutumia simu ambayo sio yakwake kama amefanya factory reset
Hiyo ni issue simple.MSAAADA TAFADHALI
custom binary blocked by frp lock
HII IMETOKEA KWA MY SAMSUNG note 5
MSAADA TAFADHALI
jamaa kazitoa huko uchina mkuu, so labda kawaibia wachina nadhaniHiyo simu probably umenunua ya wizi.
Kusolve hilo tatizo unaweza fanya factory reset tu kwa kupitia kwene recovery mode. Kila simu ina njia tofauti ya kuingia kwenye recovery mode, google model yako utapata njia ya kuingia recovery mode then reset
FRP ni lock ambayo inazuia mtu kutumia simu ambayo sio ya kwake endapo atajaribu kufanya hard reset ili kutoa ile lock ya kawaida. Baada ya kufanya reset simu itataka mtu aweke e-mail na passwed iliyotumika wakati wa kuregister simu....kwahiyo kama mwizi hafahamu hizo details hawezi kuitumia hiyo simu...FAP lock iko vipi ?
Kama sio mvivu akiingia google anaweza kuitoa mwenyeweHiyo ni issue simple.
Inatoka, ila kuna uwezekano hilo tatizo likarudia tena coz unatumia CUSTOM FIRM WARE.
Ili tatizo liondoke kabisa, inabidi ufanye installation ya OFFICIAL FIRM WARE.
Andaa TZS 15,000/=
Imetokea baada ya kuiwasha au ume-reset hiyo simu?Nimenunua kwa hawa jamaa zetu wa online ,