Current four star Generals in Tanzania

Siyo kweli, cheo bado kipo ila hakijatolewa kwa mtu since 1981.

The rank of "General of the Army" has had two incarnations. The rank was introduced in 1866, the year after the American Civil War. It was reserved for the Commanding General of the United States Army, was a four-star rank, and was held by three different individuals from 1866 to 1888. The rank was revived as the modern five-star rank during World War II, and may be awarded to more than one serving officer at a time. It was held by five different individuals from 1944 to 1981.
Nijuavyo "majenerali hufa wakiwa majenerali"
 
Dr Slaa ana miaka mingapi?? Dr Slaa ni mkubwa hata JK ni mdogo! Mbona ni Balozi wetu Denmark au Swiden huko! Ni utashi wa Rais tu! Hata Marehemu Jonh Kijazi kama asingefariki,angeongezewa miaka mingine na Marehemu Magu!
Usichanganye civil service na appointment posts. Civil service ni ajira za umma, kwa nafasi za kawaida umri wa kustaafu ni miaka 60, unaruhusiwa kuongezwa miaka miwili miwili mwisho ni mara 2, umri wa mwisho kwa civil service ni miaka 65. Kwa appointment, mtu anaweza kuteuliwa hata akiwa na miaka 70!, nafasi kama za ubalozi, ubunge, uwaziri na wenyeviti wa bodi.
P
 
kaka Pascal naomba kujua kidogo hapa, Civil Service kwani si ni ajira za Umma ambazo haziwahusu Military Personnel maana wao sio civilian, je hiyo ya mwisho miaka 65 ya Civil Service inaingiaje Jeshini? Natanguliza shukrani
Usichanganye civil service na appointment posts. Civil service ni ajira za umma, kwa nafasi za kawaida umri wa kustaafu ni miaka 60, unaruhusiwa kuongezwa miaka miwili miwili mwisho ni mara 2, umri wa mwisho kwa civil service ni miaka 65. Kwa appointment, mtu anaweza kuteuliwa hata akiwa na miaka 70!, nafasi kama za ubalozi, ubunge, uwaziri na wenyeviti wa bodi.
P
 
kaka Pascal naomba kujua kidogo hapa, Civil Service kwani si ni ajira za Umma ambazo haziwahusu Military Personnel maana wao sio civilian, je hiyo ya mwisho miaka 65 ya Civil Service inaingiaje Jeshini? Natanguliza shukrani
Civil service inahusu ajira zote za serikalini ikiwemo jeshini, public service ni ajira zote za umma. Umri wa kustaafu kwa ordinary public service ni miaka 60. Lakini kwa viongozi fulani ni miaka 65, wakiwemo constitutional officers. Hivyo wakuu wa taasisi za umma wanapofikisha umri wa miaka 60 wa kustaafu kwa lazima, rais anaweza kuwaongezea miaka 2, kama hajapata mtu, anaongezwa miaka 2 tena na hapo ndio mwisho.

Ukiwa mkuu wa taasisi, unapofikisha umri wa miaka 55, unatakiwa kuandaa succession plan ya mrithi wako, kwa spotting na grooming. Wakuu wachoyo hili huwa hawafanyi ili waongezewe ile miaka miwili miwili ya kutafuta succesor.

Huu uteuzi wa juzi kumuondoa Lt. Gen kwa kumpa ubalozi ni kumzuia asiwe CDF, hivyo any moment from now, kuna mtu atapandishwa cheo kuwa Lt. Gen, ndie atakuwa mnadhimu na kumpokea CDF.
P
 
Civil service inahusu ajira zote za serikalini ikiwemo jeshini, public service ni ajira zote za umma. Umri wa kustaafu kwa ordinary public service ni miaka 60. Lakini kwa viongozi fulani ni miaka 65, wakiwemo constitutional officers. Hivyo wakuu wa taasisi za umma wanapofikisha umri wa miaka 60 wa kustaafu kwa lazima, rais anaweza kuwaongezea miaka 2, kama hajapata mtu, anaongezwa miaka 2 tena na hapo ndio mwisho.

Ukiwa mkuu wa taasisi, unapofikisha umri wa miaka 55, unatakiwa kuandaa succession plan ya mrithi wako, kwa spotting na grooming. Wakuu wachoyo hili huwa hawafanyi ili waongezewe ile miaka miwili miwili ya kutafuta succesor.

Huu uteuzi wa juzi kumuondoa Lt. Gen kwa kumpa ubalozi ni kumzuia asiwe CDF, hivyo any moment from now, kuna mtu atapandishwa cheo kuwa Lt. Gen, ndie atakuwa mnadhimu na kumpokea CDF.
P
Ahksante sana kwa ufafanuzi kaka. Nmekupata vyema bila chenga
 
Civil service inahusu ajira zote za serikalini ikiwemo jeshini, public service ni ajira zote za umma. Umri wa kustaafu kwa ordinary public service ni miaka 60. Lakini kwa viongozi fulani ni miaka 65, wakiwemo constitutional officers. Hivyo wakuu wa taasisi za umma wanapofikisha umri wa miaka 60 wa kustaafu kwa lazima, rais anaweza kuwaongezea miaka 2, kama hajapata mtu, anaongezwa miaka 2 tena na hapo ndio mwisho.

Ukiwa mkuu wa taasisi, unapofikisha umri wa miaka 55, unatakiwa kuandaa succession plan ya mrithi wako, kwa spotting na grooming. Wakuu wachoyo hili huwa hawafanyi ili waongezewe ile miaka miwili miwili ya kutafuta succesor.

Huu uteuzi wa juzi kumuondoa Lt. Gen kwa kumpa ubalozi ni kumzuia asiwe CDF, hivyo any moment from now, kuna mtu atapandishwa cheo kuwa Lt. Gen, ndie atakuwa mnadhimu na kumpokea CDF.
P
Hii paragraph ya mwisho imebeba ujumbe mzito sana ila tatzo linakuja ni kua pamoja na kua balozi ila bado anabaki kua mtumishi wa jeshi, means incase akitenguliwa huko atarudi jeshini km kwa aliekua mkurugenzi wa Takukuru ambae anarudi jeshini kupangiwa majukumu mengine?...sasa swali la msingi ni Je tutakua na ma Lt Jenerali wawili?kwani asingemtaafisha then akamteua balozi?
 
Hahaaaa!! We jamaa hujui unachokiongea!!

Umesema kukiwa na majenerali zaidi ya mmoja kutakuwepo na ukosefu wa nidhamu jeshini.

Umesema hivyo au hujasema?

Kama unakubali kuwa umesema, je, unajua kuwa kuna majeshi hapa duniani yenye active four star generals?

Hayo majeshi ni ya kisiasa na hayana huo ukosefu wa nidhamu unaouzungumzia wewe.

Au hujui kuwa kuna majeshi hapa duniani yaliyo na active four star generals zaidi ya mmoja kwa wakati mmoja?

Kuna jeshi hapa duniani lina active four star generals zaidi ya 40!

Unabisha?
jeshi gani brother? embu tuambie by example
 
Hii paragraph ya mwisho imebeba ujumbe mzito sana ila tatzo linakuja ni kua pamoja na kua balozi ila bado anabaki kua mtumishi wa jeshi, means incase akitenguliwa huko atarudi jeshini km kwa aliekua mkurugenzi wa Takukuru ambae anarudi jeshini kupangiwa majukumu mengine?...sasa swali la msingi ni Je tutakua na ma Lt Jenerali wawili?kwani asingemtaafisha then akamteua balozi?
JWTZ imewahi kuwa na maafisa jenerali wenye cheo cha luteni jenerali zaidi ya mmoja wakitumikia jeshi pamoja, mfano wa siku za karibuni maafisa hao ni Luteni jenerali Yacoub Hassan Mohamed mnadhimu Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Luteni jenerali Paul Peter Massao mkuu wa Chuo cha Taifa cha ulinzi NDC
Mheshimiwa Spika, aidha, nitumie fursa hii pia
kumpongeza Luteni Jenerali Yacoub Hassan Mohamed kwa
kupandishwa cheo na kuteuliwa kuwa Mnadhimu Mkuu wa
Majeshi ya Ulinzi. Pia, napenda kuwapongeza Luteni Jenerali Paul
Peter Masao, Mkuu wa Chuo cha kijeshi - Monduli kwa
kupandishwa cheo, Meja Jenerali Martin Shiminzi Busungu, kwa
kupandishwa cheo na kuteuliwa kuwa Mkuu wa Jeshi la Kujenga
Taifa, na Meja Jenerali Sharif Sheikh Othman kwa kuteuliwa kuwa
Mkuu wa Kamandi ya Vikosi chini ya Makao Makuu ya Jeshi.
Kipekee, napenda kuwashukuru Luteni Jenerali Mstaafu James
Aloyce Mwakibolwa, aliyekuwa Mnadhimu Mkuu wa Majeshi ya
Ulinzi na Meja Jenerali Mstaafu Michael Joseph Isamuhyo,
aliyekuwa Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa kwa kulitumikia Jeshi
kwa ufanisi na mafanikio makubwa.
5. Mheshimiwa Spika, napenda kuwapongeza makama

PMO_9463
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akipokea zawadi ya peni, kutoka kwa Mkuu wa Chuo cha Taifa cha Ulinzi (NDC) Luteni Jenerali, Paul Massao, baada ya kufungua kozi fupi ya tano ya Viongozi, inayofanyika katika Chuo cha Taifa cha Ulinzi, Kunduchi jijini Dar es Salaam. Agosti 13. 2018
 
Inawezekana ni kwa sababu idadi ya wanajeshi siyo kubwa kwa hiyo haina haja ya kuwa na majenerali wa four star wengi

marekani unayoisema ina wanajeshi wengi mno hivyo haliwez kuongozwa na general mmoja
 
Naona wengi hapa wanabishana kuhusu uwezekano wa kuwa na Four Stars Generals wengi kwa wkt mmoja, issue ni kuwa Ukubwa wa Jeshi ndio una-determine aina ya maafisa wa kuongoza sehem husika, ndo maana unaona kuna vinchi ambavyo vijeshi vyao vidogo CDF wao wala sio four star generals, kuna vinchi CDF ni Kanali tu wa Jeshi kutokana na ukubwa wa Jeshi lao, na sisi kwa ukubwa wa Jeshi letu halihitaji kuwa na Four Star Generals zaidi ya mmoja, wkt ukifka itakua tu!!!
 
Uwongo, vyeo huamuliwa kwa nafasi ya mtu. Kuna nafasi ukichaguliwa lazima uwe na cheo fulani ili uweze kuitumikia hiyo nafasi.

Four-star grades go hand-in-hand with the positions of office they are linked to, so these ranks are temporary. Officers may only achieve four-star grade if they are appointed to positions of office that require and/or allow the officer to hold such a rank. Their rank expires with the expiration of their term of office, which is usually set by statute. Four-star officers are nominated for appointment by the president from any eligible officers holding a one-star grade or above, who also meets the other requirements for the position, under the advice and/or suggestion of their respective executive department secretary, service secretary, and if applicable the joint chiefs. The nominee must be confirmed via majority by the Senate before the appointee can take office and thus assume the rank.
Mkuu hii umeitoa mahali mazima ukaja kuitupa hapa. Huku kwetu bongo kuna tofauti na hayo uliyoyaweka hapo juu.
Huku hakuna advice, nominations wala confirmations. CIC anachagua poti wake anamweka pale, kwisha kazi. Hata kama ni luteni usu atarushwa tu apate hizo four stars.
 
Mkuu hii umeitoa mahali mazima ukaja kuitupa hapa. Huku kwetu bongo kuna tofauti na hayo uliyoyaweka hapo juu.
Huku hakuna advice, nominations wala confirmations. CIC anachagua poti wake anamweka pale, kwisha kazi. Hata kama ni luteni usu atarushwa tu apate hizo four stars.
:D:D:D:D:D:D:D:D:D bro umetisha eti hata Luteni Usu anarushwa tu, hii htr sana hii
 
40 Reactions
Reply
Back
Top Bottom