Masikini_Jeuri
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 6,829
- 1,296
Wadau naomba tujadili baraza la sasa la mwaziri; cv zao na uwezo wao wa kazi na kutatua matatizo ya watanzania kwa uzoefu wao ; na hapa nawalenga wale wapya ingawa hata waliopo ni baadhi tu nimesikia sifa zao.