Ameweka rules za lockdown akazivunja mwenyewe, kinacholeta utata ni kua kwanini Boris hatari aondoke? Watu wengi wana his I he is the brain behind PM’s powerNimeona anahojiwa, hivi kafanya nini? Kumbe na ulaya uswahili upo? Lakini sishangai nchi za kisultani na ki malkia! Ni watumwa to some extent!
Wengi wa wabunge wa Conservative wanataka ajiuzulu. Hii hali inamuweka Boris kwenye hali mbaya sana, inaelekea anamtegemea Cummings kwa mambo muhimu.Kuna Junior Minister wa UK kajiuzulu kwa sababu hakutaka kuwa sehemu ya serikali inayo support ujinga huu.
Nilivyosikia nikasema ni lini Waziri wa Tanzania kajiuzulu rasmi na wazi kwa sababu hajakubaliana na msimamo wa serikali?
Sent from my typewriter using Tapatalk