Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,258
- 20,707
Kwanza natoa heshima zangu za hali ya juu kwa ODM na DC!Babu zangu wa ukweli!Naona kama hamjatendewa haki kutokuwekewa category yenu spesheli kwa ajili yenu na babu wote wa JF kwa hekima zenu zisizopimika,nasema hayo kwa sababu nyie mkishindanishwa na vijana na watu wazima wa JF mtakua mmeshinda tayari!!Sijaona kama wapo wakuwashindanisha na nyie!Hekima na busara zenu ni za hali ya juu!Plz spaidaman weka category ya hawa watu!Mtazamo wangu huu!