Cum cruce et gradio: Mfahamu Thomas Aquinnas moja kati ya watu wenye akili nyingi aliyewahi kuwepo

Then ukiniuliza My favorite saint katika Kanisa katoliki nitamtaja Franciss wa Asizi. Jamaa aliamini kwamba kila kiumbe kuanzia miti,wadudu na wanyama wameumbwa kwa mfano wake Mungu. Hivyo basi viumbe vyote vinahaki ya kuishi na kupata wokovu wa Mungu, yeye alikua anaihubiria miti, alihubiria wadudu na wanyama mbalimbali. Hadi upepo alikua anauhubiria neno la Mungu aliwaita ndugu zake.

Jua aliliita kaka na mwezi aliuita dada.. Namkubali sana huyu mtu pamoja na Saint Augustine
Aliukataa utajiri wa Baba yake na kuamua kuishi maisha ya kifukara...aliwaza Mbingu kuliko Dunia.
Baba yake alikua mfanya biashara mkubwa hata Nina Fransisco alipewa kutokana na nchi ya France ambayo baba yake alifanikiwa sana kibiashara.

Kuna chama cha kitume ndani ya Roman Catholic kinaitwa Wafransisco pia kuna Mapadre wakapuchini pia kuna masista waclara....hawa wote hufuata miongozo ya maisha ya Mwamba St Fransisco wa Asis....husalimiana "Amani na Salama" na majibu huwa "Amani na Salama"
Huyu mwamba ni definition ya neno "Utakatifu"
 
Ni mchanganyiko wa mapokeo,historia, theolojia na ujanja ujanja wa kirumi. Yesu hakuacha kanisa linaloitwa la Roma,Na Petro hajawahi kuwa Papa. Ukifuatilia Ni Nani aliyewaua mitumie na wafuasi wa Yesu na kwa amri kutoka kwa nani,Na ukifuatilia Ni lini na ni mtawala gani wa dola ya kirumi aliyeamu ' if you can't fight them join them' na kuuteka ukristo na kuuchanganya na mila,desturi,ibada na mapokeo ya kipagani then ni rahisi tu kujua kwanini watu wamelewa kwa 'mvinyo wa ukahaba wake' na mipango ya 'Jesuit' anayeliongoza kanisa Hilo Sasa kutimiza 'agenda' iliyopo mezani.
 
Kuna mtu aliniambia hizi ni zama za kujua kweli na si miujiza na kuamini tu ..je alikuwa sahihi?
Ndko alikua sahihi sana. Wakati wa manabii na watenda miujiza ushapita. Ni wakati wa kuisikiliza neno na kuamini. Aaminiye ataurithi uzima wa milele na sio aonaye miujiza
 
Ok nimekupata mkuu ? Siku hz hufungui nyuzi kama hzi tatizo nini?
Nimeandika nyuzi humu zaidi ya mia zenye mafundisho Tele. Kuna zingine ilikua inanibidi naenda kutoa hela Internet cafe ili nipate pc ya kuandika na kupost coz mada zangu ni ndefu na fikirishi so kwa simu siwezi.
Unakuta uzi naweza tumia hata saa 4-7 nipo naandika.

Natumia muda na fedha zangu na sijawah pata hata mia kutokana na uandishi wangu. Kikubwa nachopata ni likes tu humu ambazo hazina maana yoyote. So kwanini niendelee kufanya kitu kinachonighalimu bila kupata faida yoyote??? Hicho ndio kimenifanya niache kuandika magazeti. But in my mind I have a lot of things to write. Basi tu
 
Nimeandika nyuzi humu zaidi ya mia zenye mafundisho Tele. Kuna zingine ilikua inanibidi naenda kutoa hela Internet cafe ili nipate pc ya kuandika na kupost coz mada zangu ni ndefu na fikirishi so kwa simu siwezi.
Unakuta uzi naweza tumia hata saa 4-7 nipo naandika.

Natumia muda na fedha zangu na sijawah pata hata mia kutokana na uandishi wangu. Kikubwa nachopata ni likes tu humu ambazo hazina maana yoyote. So kwanini niendelee kufanya kitu kinachonighalimu bila kupata faida yoyote??? Hicho ndio kimenifanya niache kuandika magazeti. But in my mind I have a lot of things to write. Basi tu


Ina maana hizo mada zaidi ya mia ulizoandika mwanzo ulikua unalenga upate chochote kitu?

Na ungepataje kitu bila kusema unachokitaka?

Lakini pia humu JF mada zake ni za hiyari ya members wenyewe na sio lazima ama kwa malipo?



Mada zako huwa ni chakula kizuri sana cha ubongo, angalia namna utaweza kuzirejesha. (Ombi)
 
Ina maana hizo mada zaidi ya mia ulizoandika mwanzo ulikua unalenga upate chochote kitu?
Hapana lengo ilikua ni kufundisha but ghalama ya kuandika mada moja ilikua kubwa halafu hakuna niingizacho. Laiti kama ningekua nina pc back then nisingestisha kuandika. Coz I have a lot of things in my mind. Na kadri ninavyoandika ndio mambo yanazidi kujitokeza kichwani ya kuandika
Na ungepataje kitu bila kusema unachokitaka?

Lakini pia humu JF mada zake ni za hiyari ya members wenyewe na sio lazima ama kwa malipo?
Ni kwelk
Mada zako huwa ni chakula kizuri sana cha ubongo, angalia namna utaweza kuzirejesha. (Ombi)
Nitajitahidi.. Lakini kwa sasa hivi mada za namna yangu hazina mvuto tena kutokana na aina ya kizazi kilichopo leo hii mtandaoni. Ndio maana Nf Intelligence imedorora coz hakuna wasomaji wengi wanapenda mada za umbea, ngono na wasanii.
 
Hapana lengo ilikua ni kufundisha but ghalama ya kuandika mada moja ilikua kubwa halafu hakuna niingizacho. Laiti kama ningekua nina pc back then nisingestisha kuandika. Coz I have a lot of things in my mind. Na kadri ninavyoandika ndio mambo yanazidi kujitokeza kichwani ya kuandika

Ni kwelk

Nitajitahidi.. Lakini kwa sasa hivi mada za namna yangu hazina mvuto tena kutokana na aina ya kizazi kilichopo leo hii mtandaoni. Ndio maana Nf Intelligence imedorora coz hakuna wasomaji wengi wanapenda mada za umbea, ngono na wasanii.
Andika tu ukipata muda

Hata kwa ajili ya mtu mmoja wawili...... ikiwamo wewe mwenyewe.

Kwani wewe hufurahii kuandika mada.... basi andikaga eaaaaasy
 
Hapana lengo ilikua ni kufundisha but ghalama ya kuandika mada moja ilikua kubwa halafu hakuna niingizacho. Laiti kama ningekua nina pc back then nisingestisha kuandika. Coz I have a lot of things in my mind. Na kadri ninavyoandika ndio mambo yanazidi kujitokeza kichwani ya kuandika

Ni kwelk

Nitajitahidi.. Lakini kwa sasa hivi mada za namna yangu hazina mvuto tena kutokana na aina ya kizazi kilichopo leo hii mtandaoni. Ndio maana Nf Intelligence imedorora coz hakuna wasomaji wengi wanapenda mada za umbea, ngono na wasanii.


Wasomaji bado tupo wengi tu Jitahidi uweke mada.
 
Wasomaji bado tupo wengi tu Jitahidi uweke mada.
Hua naanxika mara moja moja but not spiritual as I used to be.
Pita hapa... Utajifunza kitu
 
Andika tu ukipata muda

Hata kwa ajili ya mtu mmoja wawili...... ikiwamo wewe mwenyewe.
Uhakika bro... Mara nyingi hua inanibidty kuandika coz kichwa hua nasikia kinabust kutokanan na kua nafikiria vitu viingi kichwani. So napoandika vitu vikitoka angalau napata relif fulani hivi
Kwani wewe hufurahii kuandika mada.... basi andikaga eaaaaasy
Kuandika mada fupi ndo siwezi. Nikisema niandike kidogo mara vuup nishafika maneno 1000. It's just hua siwezi simulia vitu kwa ufupi nakua nahisi sieleweki
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom