Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,617
- 34,062
Inashangaza kwa kweli.
Yaani sasa hivi watu wamejaa mihemko tu na kuabudu watu fulani tu.
Yaani wanatamani kama team ya mpira inayofanya vizuri iwe Simba au Yanga.
Kama ni msanii, wanataka awe msanii wao tu Alikiba, Harmonize, au Diamond
Kama ni siasa wanaamini mtu wao yeye ni malaika hajawahi kukosea.
Na kibaya zaidi kwenye CULTS watu fulani wamekuwa wakijipenyeza kupiga pesa za followers.
Je, kwa hizi cults ni nini matokeo mwisho wake ?
Yaani sasa hivi watu wamejaa mihemko tu na kuabudu watu fulani tu.
Yaani wanatamani kama team ya mpira inayofanya vizuri iwe Simba au Yanga.
Kama ni msanii, wanataka awe msanii wao tu Alikiba, Harmonize, au Diamond
Kama ni siasa wanaamini mtu wao yeye ni malaika hajawahi kukosea.
Na kibaya zaidi kwenye CULTS watu fulani wamekuwa wakijipenyeza kupiga pesa za followers.
Je, kwa hizi cults ni nini matokeo mwisho wake ?