Wapiga kura walio chagua wabunge wa CUF wametapeliwa, wapiga kura waliwapigia kura ili ikiwezekana washike dola kama sivyo wawe wapinzani wa serekali itakayo shinda wao wameenda kinyume na dhamira ya walio wachagua kitendo chakujiunga na CCM kwenye upigaji wa kura za maamuzi bungeni ni usaliti mkubwa kwa wapiga kura ,prof Lipumba asipo chukua hatua mapema hawa wabunge wanaotoka ZNZ watamweka kwenye nafasi mbaya kisiasa huku bara