G-Mdadisi
Senior Member
- Feb 15, 2018
- 157
- 99
WANACHAMA na viongozi wa chama cha Wananchi CUF Zanzibar wamemtaka kiongozi wa chama hicho Prof. IBRAHIM LIPUMBA kuwaachia chama Chao ili kukinusuru na hali mbaya inayokikabili kutokana na kile walichokiita 'Usaliti wa Lipumba kwa chama hicho'.
Wamesema kutokana na mwenendo wa vitendo vyake vyenye kila dalili za kukihujumu chama chao kwa makusudi imefika wakati anatakiwa kuondoka ndani ya chama kwa namna yoyote ile ili chama kiendelee na utekelezaji wa agenda zake za kutetea masrahi ya wananchi kwa mujibu wa katiba.
Wamesema kutokana na mwenendo wa vitendo vyake vyenye kila dalili za kukihujumu chama chao kwa makusudi imefika wakati anatakiwa kuondoka ndani ya chama kwa namna yoyote ile ili chama kiendelee na utekelezaji wa agenda zake za kutetea masrahi ya wananchi kwa mujibu wa katiba.