CUF yaungana na CHADEMA kutoshiriki uchaguzi wowote hadi ipatikane Tume Huru

Chama cha CUF kimesema hakitashiriki uchaguzi wowote utakaoitishwa kwa sababu bado wanapima hali ya kisiasa nchini ikiwemo uhalali wa tume ya uchaguzi.

Mwenyekiti Prof Lipumba amesema maamuzi hayo yamefikiwa na kikao cha kamati kuu.

Ikumbukwe kuwa CHADEMA ilishatoa msimamo ke huo wa kutoshiriki uchaguzi wowote hadi ipatikane Tume huru.

Chanzo: Star tv

Ramadhan Kareem!
CUF waliyasema haya Novemba 2020
 
Hii tume ya uchaguzi imejaa wahuni watupu!!
Kongole CDM ni uamuzi wa kiume!! Kushiriki dhambi huku ukijua ni dhambi..ni dhambi kubwa!!
 
Ccm kukupa tume huru ya uchaguzi ni SAwa na kulala mlango wazi huku ukimuomba Mungu kibaka aisiingie ndani kuiba.
Hata wale wanaharakati waliokuwa kwenye mapendekezo ya tume huru tumeshuhudia wakiikana baada ya kuketi mezani na wakuu.
 
Chama cha CUF kimesema hakitashiriki uchaguzi wowote utakaoitishwa kwa sababu bado wanapima hali ya kisiasa nchini ikiwemo uhalali wa tume ya uchaguzi.

Mwenyekiti Prof Lipumba amesema maamuzi hayo yamefikiwa na kikao cha kamati kuu.

Ikumbukwe kuwa CHADEMA ilishatoa msimamo ke huo wa kutoshiriki uchaguzi wowote hadi ipatikane Tume huru.

Chanzo: Star tv

Ramadhan Kareem!
CUF hii hii ya Lipumba aliyevuruga UKAWA? Dunia ina mambo
 
Back
Top Bottom