johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,589
- 141,390
Chama cha CUF kimesema hakitashiriki uchaguzi wowote utakaoitishwa kwa sababu bado wanapima hali ya kisiasa nchini ikiwemo uhalali wa tume ya uchaguzi.
Mwenyekiti Prof Lipumba amesema maamuzi hayo yamefikiwa na kikao cha kamati kuu.
Ikumbukwe kuwa CHADEMA ilishatoa msimamo ke huo wa kutoshiriki uchaguzi wowote hadi ipatikane Tume huru.
Chanzo: Star tv
Ramadhan Kareem!
Mwenyekiti Prof Lipumba amesema maamuzi hayo yamefikiwa na kikao cha kamati kuu.
Ikumbukwe kuwa CHADEMA ilishatoa msimamo ke huo wa kutoshiriki uchaguzi wowote hadi ipatikane Tume huru.
Chanzo: Star tv
Ramadhan Kareem!