charityboy
Senior Member
- Nov 11, 2010
- 138
- 4
Hatimaye pamoja na kuchukua viti vingi vya udiwani sehemu mbalimbali tanzania kwenye chaguzi ndogo, chama cha CUF kimetabiriwa makubwa hasa kutokana na hazina ya uongozi makini wa profesa wa uchumi (Lipumba) na kiongozi makini (Maalim Seif).
Kwa kuwa kimeshafanikiwa kuingia serikalini kwa upande mmoja, hali ya kisiasa inaonyesha muelekeo mzuri kwa upande wa bara kwani umakini wa wananchi juu ya chama hiki umeongezeka. CUF haikuona umuhimu wowote wa kusimamisha mgombea ARUMERU. Hali kadhalika, CCM kwa ridhaa yao wameamua kuliachia jimbo hilo kwani si muhimu tena kwao. Na muelekeo unaonyesha kuwa CCM itaendelea kuachia majimbi mengi kadiri yatakavyoendelea kupotena umuhimu.
Watanzania tuweni MAKINI na vyama fujo.
mtaalamu wa siasa za tanzania nilierejea masomoni baada ya miaka 2. Ktk kipindi chote cha masomo niliona nisimame kwanza kutumia JF ili nisome vizuri kwa maslahi ya nchi yangu.
Kwa kuwa kimeshafanikiwa kuingia serikalini kwa upande mmoja, hali ya kisiasa inaonyesha muelekeo mzuri kwa upande wa bara kwani umakini wa wananchi juu ya chama hiki umeongezeka. CUF haikuona umuhimu wowote wa kusimamisha mgombea ARUMERU. Hali kadhalika, CCM kwa ridhaa yao wameamua kuliachia jimbo hilo kwani si muhimu tena kwao. Na muelekeo unaonyesha kuwa CCM itaendelea kuachia majimbi mengi kadiri yatakavyoendelea kupotena umuhimu.
Watanzania tuweni MAKINI na vyama fujo.
mtaalamu wa siasa za tanzania nilierejea masomoni baada ya miaka 2. Ktk kipindi chote cha masomo niliona nisimame kwanza kutumia JF ili nisome vizuri kwa maslahi ya nchi yangu.