johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,904
- 141,855
Mwenyekiti wa CUF Prof Lipumba amemtaka serikali ya JMT iwe ya. Umoja wa Kitaifa kama Zanzibar
CUF Ilikuwa inawasilisha maoni yake mbele ya Kikosi kazi cha Profesa Mkandala na Zitto Kabwe.
===
Chama cha Wananchi (CUF) kimependekeza Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa na muundo wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK) kama ilivyo Zanzibar.
CUF imesema hatua hiyo itatengeneza utulivu wa Taifa kama Zanzibar iliyopunguza uhasama tangu mwaka 2010 baada ya Marekebisho ya Katiba ya Zanzibar ya 1984.
Marekebisho hayo yaliweka msingi wa kugawana madaraka kati ya mshindi wa uchaguzi mkuu na mshindi wa pili.
CUF imetoa mapendekezo hayo mbele ya Kikosi kazi cha kuratibu maoni ya wadau wa demokrasia nchini, kinachoendelea.
Chanzo: Eatv
CUF Ilikuwa inawasilisha maoni yake mbele ya Kikosi kazi cha Profesa Mkandala na Zitto Kabwe.
===
Chama cha Wananchi (CUF) kimependekeza Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa na muundo wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK) kama ilivyo Zanzibar.
CUF imesema hatua hiyo itatengeneza utulivu wa Taifa kama Zanzibar iliyopunguza uhasama tangu mwaka 2010 baada ya Marekebisho ya Katiba ya Zanzibar ya 1984.
Marekebisho hayo yaliweka msingi wa kugawana madaraka kati ya mshindi wa uchaguzi mkuu na mshindi wa pili.
CUF imetoa mapendekezo hayo mbele ya Kikosi kazi cha kuratibu maoni ya wadau wa demokrasia nchini, kinachoendelea.
Chanzo: Eatv