Kutokana na mjadala unaoendelea Bungeni juu ya Bajeti ya Serikali ya Mwaka 2012-13, Wabunge wa chama cha wananchi CUF wamemuomba Spika akiruhusu chama hicho kuandaa bajeti kivuli ya upinzani, baada ya ile iliyoandaliwa na Chadema kufananishwa naa rubbish, garbage na takataka kwani imeandaliwa hovyo hovyo na hivyo kukosa hadhi ya kuwa bajeti kivuli. Wabunge hao wamesema Chama chao kinamtalaam namba moja wa uchumi barani Africa na Dunia Prof Lipumba ambaye anaweza kufanya kazi hiyo kwa kushirikiana na wachumi na watalaam wengine wa fani mbalimbali.
Toa maoni yako juu ya ombi hilo la CUF la kuandaa bajeti kivuli baada ya makamanda uchwara kushindwa kufanya hivyo
Toa maoni yako juu ya ombi hilo la CUF la kuandaa bajeti kivuli baada ya makamanda uchwara kushindwa kufanya hivyo