Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 233
Naibu katibu mkuu wa CUF, Julius Mtatiro amalalmikia kitendo cha chama kimoja (hakukitaja) kuamua kuleta sukari iliyokamatwa huko mkoa Mara kuileta Igunga na kugawiwa wananchi. Anasema hiyo ni hongo.
Aidha amelalamiikia uamuzi wa serikali ya CCM kuamua kugawa mahindi kwenye vijiji vilivyokumbwa na njaa kuanzia wiki hii, akisema nayo pia hiyo ni hongo.
Kuhusu sukari lazima itakuwa ni CCM, kwani chenyewe ndicho kina uwezo wa kufanya hivyo kutokana na serikali yake kusimamia zoezi la kukamata kamata sukari huko Mara.
Taarifa ya Channel Ten usiku huu.
Aidha amelalamiikia uamuzi wa serikali ya CCM kuamua kugawa mahindi kwenye vijiji vilivyokumbwa na njaa kuanzia wiki hii, akisema nayo pia hiyo ni hongo.
Kuhusu sukari lazima itakuwa ni CCM, kwani chenyewe ndicho kina uwezo wa kufanya hivyo kutokana na serikali yake kusimamia zoezi la kukamata kamata sukari huko Mara.
Taarifa ya Channel Ten usiku huu.