Umeamkia ubavu gani leo Dio?<br />
<br />
toa ujinga wako hapa
Teh teh teh Ahahahaha!! Magwanda baada ya kuona hali imeishakuwa ngumu Igunga yameamua kuanzisha thread ya kujiliwaza na kujifariji, Teh teh teh
CUF imezindua Kampeni zako huko igunga kwa mtindo wa aina yake wakati Punda Kihongo wakikokota mkokoteni uliomchukua Mwenyekiti wa Taifa Ibrahim Lipumba pamoja na mgombea wake wa Ubunge jimboni Igunga.
Siasa ni usanii yakhe!
heheheheheeeeeeeee!Njaa itakuuwa
kweli CUF mziki mkubwa imefunika vyama vyote, cdm huku igunga haipo baada ya kumwagia mfuasi wa CCM tindikali.
Kutokana na kuanza kupoteza mvuto katika jimbo la Igunga hasa kutokana na mwitikio duni wa wananchi katika mkutano wa uzinduzi wa chama cha CUF, na pia kwa makada wake kuonekana kuikampenia CCM, kuna uwezekano mkubwa sana kwa chama hicho kufanya alichofanya Fahmi Dovutwa wa UPDP mwaka jana, kutangaza kujitoa na kuwaambia wafuasi wake jimboni humo wamopigie kura mgombea wa CCM.
Kinachosubiriwa ni kwa profesa kutangaza hivyo muda si mrefu kuanzia sasa!
Hivi wewe ritz huwa unafanya kazi saa ngapi maana huwa nakuona masaa 24 humu tena unachangia puimba au ndo mmoja wa watu walio kwenye bajeti ya uchaguzi wa magamba kule igunga?Teh teh teh Ahahahaha!! Magwanda baada ya kuona hali imeishakuwa ngumu Igunga yameamua kuanzisha thread ya kujiliwaza na kujifariji, Teh teh teh
Wanasema, kwa Mchezaji wa Mpira, Mpira unapoisha mguuni hukimbilia Mdomoni. Hata kwenye siasa mtu anapoishiwa hukimbilia kwenye Usanii.
CUF imezindua Kampeni zako huko igunga kwa mtindo wa aina yake wakati Punda Kihongo wakikokota mkokoteni uliomchukua Mwenyekiti wa Taifa Ibrahim Lipumba pamoja na mgombea wake wa Ubunge jimboni Igunga.
Siasa ni usanii yakhe!
Huo sio unyanyasaji wa wanyama kweli?