AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,040
Habari wakuu!
Kwa siku sasa ya 6 nikiwa hapa moro mjini ni juzi tarehe 21 tu pale viwanja vya fire mjini, chama cha CUF kilifanya mkutano wake ambapo katika ajenda zake viongozi wake ambamo akiwemo na mbunge mmoja wa CUF, waliishambulia CHADEMA kwa makombora mazito kwa kuponda viongozi wake hasa dr.slaa na kusema kwamba ana PHD FEKI ya kidini, pia na kuishutumu CHADEMA kwamba ni chama cha kikristo na kikabila.
Mungu si athumani jana tena jioni tarh 22 CHADEMA ilifanya M4C palepale na kukusanya kundi kubwa la vijana na wananchi wa moro mjini ambapo elimu ya uraia ilitolewa na mwisho wa mkutano watu wengi kwa hiari yao wakajitolea michango yao ya malaki ya fedha kwa ajili ya M4C .
My outlook:
CDM tufumbuke macho sasa kwani CUF ndio hvyo kaanza kazi aliyotumiwa na bwana wake CCM.
Kwa siku sasa ya 6 nikiwa hapa moro mjini ni juzi tarehe 21 tu pale viwanja vya fire mjini, chama cha CUF kilifanya mkutano wake ambapo katika ajenda zake viongozi wake ambamo akiwemo na mbunge mmoja wa CUF, waliishambulia CHADEMA kwa makombora mazito kwa kuponda viongozi wake hasa dr.slaa na kusema kwamba ana PHD FEKI ya kidini, pia na kuishutumu CHADEMA kwamba ni chama cha kikristo na kikabila.
Mungu si athumani jana tena jioni tarh 22 CHADEMA ilifanya M4C palepale na kukusanya kundi kubwa la vijana na wananchi wa moro mjini ambapo elimu ya uraia ilitolewa na mwisho wa mkutano watu wengi kwa hiari yao wakajitolea michango yao ya malaki ya fedha kwa ajili ya M4C .
My outlook:
CDM tufumbuke macho sasa kwani CUF ndio hvyo kaanza kazi aliyotumiwa na bwana wake CCM.