Kifaru86
JF-Expert Member
- Apr 22, 2017
- 1,734
- 3,802
Inavyosemekana habari chini ya kapeti kuna mgogoro mkubwa unaendelea ndani ya chamaKila siku naziona ACT Wazalendo, CCM na CHADEMA zinafanya shughuli za kisiasa. Ila CUF kimya toka mwendazake aende.
Ndio tuseme Prof Lipumba amefanikiwa kuiua CUF kama alivyotumwa?
Chanzo cha mgogoro kuna pesa inasemekana propesa kuna hela amekula Bila kuwagawia wenzie