Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,475
- 39,988
Mashindano ya namna kwa kweli inaweza kuwa ngumu huko Igunga.
Eti alisema anabandika vipeperushi vya mgombea wa Chama cha Wananchi (CUF) kwenye mwili wa huyu dada, hapa ilikuwa ni kwenye viwanja vya Barafu mjini Igunga wakati wa mkutano wa kampeni za mgombea Ubunge Leopold Mahona jana (Picha kutoka kwa Elia Mbonea - Igunga).
Swali: Katika mazingira ya namna hii vyama kama CCM na CDM vina nafasi gani... ?
Eti alisema anabandika vipeperushi vya mgombea wa Chama cha Wananchi (CUF) kwenye mwili wa huyu dada, hapa ilikuwa ni kwenye viwanja vya Barafu mjini Igunga wakati wa mkutano wa kampeni za mgombea Ubunge Leopold Mahona jana (Picha kutoka kwa Elia Mbonea - Igunga).
Swali: Katika mazingira ya namna hii vyama kama CCM na CDM vina nafasi gani... ?