Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,894
Jamani kwa muda wote nimekuwa nafuatilia hizi kelele za kambi ya Upinzani na hasa lawama kwa Chadema kuunda umoja wa pekee yao na kuacha CUF na TLP nk .Bora hapa UDP wangalisema lakini vyama saliti kama CUF ambao hata kwenye kampeni wakionyesha chuki za wazi kabisa kwa Chadema na Mrema na live agent wa CCM how do you deal with them when you want to get serious na maisha ya watanzania ?
Rashid anasumbuliwa na madaraka kwani hawezi kukaa Bungeni bila ya kuwa kiongozi wa Upinzani na bado akawa Mbunge wa huko alikotoka ? Nadhani kuna kutumiana na kuvurugana hapa nawashauri Chadema kuendelea na misimamo yao badala ya kuanza kuyumbishwa na hawa wapenda madaraka na wasiojua wanacho kitaka .Yaani wao Seif kuwa makamu wa rais kumewamaliza wote na mwisho wa CUF ni huo ama watakuja timuana kwa mashoka na kuweka CUF ya maana maana muungano wao ni mtego tu huu .Narudia CUF na TLP na NCCR unawezaje kuwaamini hawa ?
Rashid anasumbuliwa na madaraka kwani hawezi kukaa Bungeni bila ya kuwa kiongozi wa Upinzani na bado akawa Mbunge wa huko alikotoka ? Nadhani kuna kutumiana na kuvurugana hapa nawashauri Chadema kuendelea na misimamo yao badala ya kuanza kuyumbishwa na hawa wapenda madaraka na wasiojua wanacho kitaka .Yaani wao Seif kuwa makamu wa rais kumewamaliza wote na mwisho wa CUF ni huo ama watakuja timuana kwa mashoka na kuweka CUF ya maana maana muungano wao ni mtego tu huu .Narudia CUF na TLP na NCCR unawezaje kuwaamini hawa ?