CUF waibwaga CCM kesi ya uchaguzi Kilwa

MANGI MASTA

Senior Member
Jul 14, 2011
175
56
Leo kuanzaia saa 2 had 7 katika viwanja ya mahakama ya kilwa masoko umati wa watu ulikuwa umejaa na FFU wengi wamemwagwa eneohilo,ilikuwa ni katika kusubiri hukumu ya kesi iliyodumu takribani mwaka mmoja ambapo aliyekuwa mgombea wa ccm jimbo la Kilwa kusini wa Bw.Ramadhani Madabida alifungua kesi dhidi ya mbunge mchaguliwa wa CUF.Mh.Suleman Bungara(maarufu kwa jina la *****).Miongoni mwa tuhuma za CCM waliwatuhumu CUF kumchafua mgombea wa CCM na kwamba kunawapigakura 16 wa ccm walinyimwa kupiga kura.Baada ya masaa 4 ya kusomwa hukumu na jaji Fatma kutupilia mashtaka ya ccm dhidi ya CUF viwanja vya mahakama viligeuka ukumbi wa Sherehe kwani wakazi wengi wa jimbo la Kilwa kusini hasa wafuasi wa CUF walikuwa wamejaa mahakamani hapo kujua hatma ya kesi ya Mbunge wao.
 
Leo kuanzaia saa 2 had 7 katika viwanja ya mahakama ya kilwa masoko umati wa watu ulikuwa umejaa na FFU wengi wamemwagwa eneohilo,ilikuwa ni katika kusubiri hukumu ya kesi iliyodumu takribani mwaka mmoja ambapo aliyekuwa mgombea wa ccm jimbo la Kilwa kusini wa Bw.Ramadhani Madabida alifungua kesi dhidi ya mbunge mchaguliwa wa CUF.Mh.Suleman Bungara(maarufu kwa jina la *****).Miongoni mwa tuhuma za CCM waliwatuhumu CUF kumchafua mgombea wa CCM na kwamba kunawapigakura 16 wa ccm walinyimwa kupiga kura.Baada ya masaa 4 ya kusomwa hukumu na jaji Fatma kutupilia mashtaka ya ccm dhidi ya CUF viwanja vya mahakama viligeuka ukumbi wa Sherehe kwani wakazi wengi wa jimbo la Kilwa kusini hasa wafuasi wa CUF walikuwa wamejaa mahakamani hapo kujua hatma ya kesi ya Mbunge wao.

Sasa nani kashida m wingine? cuf=?
 
mume alimshaki mke au ilikuwa bado wakati wa uchumba? cuf ni historia tz bara lete habari nyingine tafadhali.
 
Kumbe hata ninyi mnasema cuf ni ccm b? Mbona wakisema cdm hivyo mnakuwa wakali? Au ndio stori ya kunya kwa kuku au bata!?

Ukisema ninyi una maana hata mimi .Ukumbi huu ni wa JF si Chadema wala nini.Sisi watanzania tunasema kamba KAFU na CCM ni wale wale sasa Chadema unaitaja hapa kwa lipi ?
 
Mama kubwa kwani ma konda hawana haki ya kutembelea JF na kupost mada?Acha u selfish.
 
Nampa hongera huyo Jaji kwa kukata hukumu haraka, mbona kesi nyingine za uchaguzi hukumu hazitolewi mapema? Yaani wanataka hukumu zitolewe 2014?

Majaji wanaosikiliza kesi za uchaguzi wajipange sawasawa, wasitoe mwanya wa kucheleweshwa usikilizaji; wao Wasomi wa sheria ndio wanaosema; JUSTICE DELAYED IS JUSTICE DINIED.

Mahakama zijipange sawasawa.
 
Kamuulize jaji ila kwa kukusaidi cuf wameshinda kesi na mh.bungara ataendelea kuwa mbunge
 
Leo kuanzaia saa 2 had 7 katika viwanja ya mahakama ya kilwa masoko umati wa watu ulikuwa umejaa na FFU wengi wamemwagwa eneohilo,ilikuwa ni katika kusubiri hukumu ya kesi iliyodumu takribani mwaka mmoja ambapo aliyekuwa mgombea wa ccm jimbo la Kilwa kusini wa Bw.Ramadhani Madabida alifungua kesi dhidi ya mbunge mchaguliwa wa CUF.Mh.Suleman Bungara(maarufu kwa jina la *****).Miongoni mwa tuhuma za CCM waliwatuhumu CUF kumchafua mgombea wa CCM na kwamba kunawapigakura 16 wa ccm walinyimwa kupiga kura.Baada ya masaa 4 ya kusomwa hukumu na jaji Fatma kutupilia mashtaka ya ccm dhidi ya CUF viwanja vya mahakama viligeuka ukumbi wa Sherehe kwani wakazi wengi wa jimbo la Kilwa kusini hasa wafuasi wa CUF walikuwa wamejaa mahakamani hapo kujua hatma ya kesi ya Mbunge wao.

Bibi na bwana wakigombana nyumbani,waache wenyewe mpaka wataelewana,lakini ukiwaingilia wakipatana utabaki na naniii eeh!!mtoto wa mama.
 
Hongera sana mh.bungara kwa kushinda kesi.niwapongeze pia makomandoo wote wa cuf kwa kushinda kesi
 
Bibi na bwana wakigombana nyumbani,waache wenyewe mpaka wataelewana,lakini ukiwaingilia wakipatana utabaki na naniii eeh!!mtoto wa mama

KAMA JINSI MUAFAKA CHADEMA NA CCM IGUNGA ETI KUTOPIGANA TENA.
 
Acheni unafki hakuna mbunge active kama *****,cc wana KILWA KUSINI ndo 2najua..ame2tetea kwenye mambo ya UFUTA....so mambo ya CCM B wala A hayawausu WANGESE Nyie

Umenishtua hii lugha uliyotumia hapa ni kali sana, sijui kama ni mimi tu jamani.
 
Naona jinamizi hilo halitaishia Kilwa bali litajongea mpakaa jijini Arusha. Ni suala la muda tu.
 
Back
Top Bottom