Ncha Kali
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 14,491
- 26,979
Hahah miaka hio kulikua na saundi mara jamaa ni mshauri wa huko IMF,mara anashauri marais mbalimbali duniani mambo ya kiuchumi mara A level matokeo yake kwny somo la Economics yalivunja records haijawahi kufikiwa hadi leo hahah.
Miaka kilikua na uongo ule 1st class.
Miaka ya giza ilinufaisha wengi sana, naamini hata Nchonga ingekuwa zama hizi angeumbuka mengi tu.
Eti lipumba mshauri IMF na WB mambo ya kiuchumi, kumbe porojo tu dadadeeki!!