Ciril
JF-Expert Member
- Jan 10, 2011
- 8,558
- 7,156
jamani mashehe walishakataa habari ya maandamano sasa apo vipi?
Watawaunga mikono na kuwahamasisha waumini wao
jamani mashehe walishakataa habari ya maandamano sasa apo vipi?
Watawaunga mikono na kuwahamasisha waumini wao
This is a stone in the liberation trend of the country!Chama cha wananchi CUF kimeamua kuandaa maandamano ya nchi nzima ya kupinga mauaji na unyanyasaji wa haki za binadamu unaofanywa na jeshi la polisi hapa nchini, hayo lalielezwa na naibu katibu mkuu wa CUF Julius Mtatilo wakati alipokuwa akitoa tamko hilo mbele ya waandishi wa habari.
CUF ilidhihilisha kuwa kumbe CHADEMA wako sahihi kabisa jinsi wanavyofanya maandamano yao japo vyama vingine vya siasa vinawapinga,
Haya maandamano ya CUF wameamua kuyaandaa baada ya mtu mmoja kupigwa risasi na polisi na kufa hapohapo huko Tabora na mbunge wa viti maalumu kukamatwa na polisi kwa kusema kuwa anafanya mikmutano bila kibali..
Hayo ndiyo yaliyojili ndugu zangu
Chanzo cha habari ni CLOUDS TV.
Kwani ndoa yao vipi tena?
i mean CCM na CUF wametengana?
huu nao ni ujinga wa kisiasa kama sio upumbavu. hata wakiuawa wayu wangap kwa kuwa tu inaaminika ni wafuasiw a chadema basi cuf hawaandamani kupinga wala hawawaungi mkono chadema katika kupinga, akiuawa mmoja tu anayesadikiwa kuwa mwanachama wa cuf utasikia,,, aaa kumbe chadema wao sahihi!!... mazezeta haya!! ndo yanaamka sasa na kubaini uvunjwaji wa haki za binadamu baada ya mtu wao kuuawa. kumbe hata mtu wa ccm akiuawa na ccm wataamka!
siasa gani hizi hadi watu mtu wako auawe ndo ujue thamani ya binadamu na ukatili wa polisi? ina maana tanzania ya leo chama kinapanua domo lake pale tu mwanachama wao anapouawa?
nashauri chadema wajitokeze katika maandamano yatakayoitishwa na cuf kulaani mauaji haya ili kuonyesha kuwa chadema wanalaani mauaji ya raia yanayofanywa na polisi bila kujali itikadi za kisisa na hapo watadhihirisha ukomavu wao na kupata crediti zaidi katika harakati zao za kutetea haki za binadamu
Kwani ndoa yao vipi tena?
i mean CCM na CUF wametengana?
Itapendeza sana kama wapenda haki wote watayaunga mkono bila kujali kuwa cuf wamekuwa wakiyapinga maandamano ya Chadema. Hii ni nafasi nzuri sana ya kuwaaibisha wanafiki. MWENYE AKILI TIMAMU HAWEZI KULIITA JUA MBALAMWEZI ETI KWA SABABU TU MNAFIKI ALIYEKUWA ANALIITA MBALAMWEZI AMEANZA KULIITA JUA. Tusio wanafiki lazima tujitofautishe na wazanzibar wanaofurahia mauaji ya Watanganyika kwa sababu tu wakati wa mauaji ya visiwani wengi hawakuwa na mwamko wa kisiasa kupiinga waziwazi mauaji hayo!!
Chadema ni kama katapila linachonga barabara na wengine wanafuatia,tulivyoanza Chadema kufanya maandamano Cuf walitutupia vijembe sn Leo wanakula kile kile walichokitapika.Chadema go go go peoplesssssssss powerrrrrrrrrrrrrrr .