Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye wizi hakuna demokrasia mambo kama hayo ndio yanayohitajika ,hivi ulitegemea jamaa waibe kura arafu washangae ,safari hii mwizi yatamkuta mauti ,ole wao wezi wa uchaguzi huu ni kipigo kwa kwenda mbele ,hata kama uchaguzi utamalizika lakini usalama wao utakuwa mashakani.Pindipo wakiwa proved wamekwiba.
hiyo ndo Tanzania yenye amani jamani!??? ccm angalieni haya!baada ya matokeo ya ushindi wa ccm kutangazwa tandahimba cuf wapingana na matokeo kwa kufanya vurugu wachoma nyumba na gari la mshindi moto...
hiyo ni demokrasia gani?
Kwenye wizi hakuna demokrasia mambo kama hayo ndio yanayohitajika ,hivi ulitegemea jamaa waibe kura arafu washangae ,safari hii mwizi yatamkuta mauti ,ole wao wezi wa uchaguzi huu ni kipigo kwa kwenda mbele ,hata kama uchaguzi utamalizika lakini usalama wao utakuwa mashakani.Pindipo wakiwa proved wamekwiba.
amani gani woga tu! mlizani kuleta mabadiliko ni lelemama? kwa hiyo tulieni tu mpaka Mungu akujaalieni nyie laleni tu!hiyo ndo Tanzania yenye amani jamani!??? ccm
angalieni haya!
Si demokrasi kufanya uhalifu kwa kisingizio chochote!!!
Mbona wao CCM sehemu nyingine wanakuwa wabishi kukubali matokeo?kwani uliona wakati wanaibiwa?yaani watanzania wanatakiwa kukubali matokeo wanaposhindwa...acheni kuchochea fujo!