msuyaeric
JF-Expert Member
- Dec 18, 2014
- 838
- 1,167
Mapema Leo hii wabunge 8 waliovuliwa uwanachama ndani ya chama chw CUF, leo wamepeleka ombi lao la zuio la kuapishwa kwa wabunge wapya walioteuliwa siku chache huko bungeni mjini Dodoma, Ombi hilo limefikishwa katika mahakama kuu, Jijiji Dar es Salaam ...
Na haya ndo waliyoyasema mapema Leo hii baada ya kutoka Mahakamani
Sent using Jamii Forums mobile app
Na haya ndo waliyoyasema mapema Leo hii baada ya kutoka Mahakamani
Sent using Jamii Forums mobile app