KIDUNDULIMA
JF-Expert Member
- Aug 18, 2010
- 966
- 536
Ushindi wa chama cha CUF wa viti vitatu kwenye ngome ya chama cha mapinduzi inadhihirisha kuwa chama hiki ni cha wa wazanzibari wote tofauti na CCM ambayo huishia kupata viti upande wa unguja tu. Kwa mantiki hiyo CUF wanastahili kupewa Nchi ya Zanzibar waiongoze na CCM wapewe nafasi ya umakamu wa raisi wa kwanza