CUF Habari
JF-Expert Member
- Dec 12, 2019
- 239
- 234
Udini kiasi hiki haujapata kutokea, na walahi hii ni mara ya mwishoCUF wako sahihi
Serikali ya awamu ya Tano Imejaa Udini
Mfumo Kristo ndio umebeba taifa hili, bila mabadiko ya kimfumo, mtateseka sanaNawapongeza CUF kwa kuunga mkono waraka huo.
Pia nawapa angalizo Serikali ya awamu hii chini ya Jpm ni muhimu kuzingatia HAKI na USAWA kwa kila mwanajamii, inasikitisha kuona Sheikh Ponda kukamatwa na polisi kisa waraka wa Shura ya Maimamu ilhali kila mara Maaskofu kina Bagonza wanatoa matamko lakini hawakamatwi!!!
Hii si sawa na mnahatarisha AMANI, UPENDO na MSHIKAMANO uliopo ktk Taifa hili.
TUNATAKA HAKI ITENDEKE KWA WOTE..!!!
Nawapongeza CUF kwa kuunga mkono waraka huo.
Pia nawapa angalizo Serikali ya awamu hii chini ya Jpm ni muhimu kuzingatia HAKI na USAWA kwa kila mwanajamii, inasikitisha kuona Sheikh Ponda kukamatwa na polisi kisa waraka wa Shura ya Maimamu ilhali kila mara Maaskofu kina Bagonza wanatoa matamko lakini hawakamatwi!!!
Hii si sawa na mnahatarisha AMANI, UPENDO na MSHIKAMANO uliopo ktk Taifa hili.
TUNATAKA HAKI ITENDEKE KWA WOTE..!!!
ACT imeingiaje hapo?
Siyo awamu ya 5 tuu. Malalamiko Kama haya huwa yapo awamu zote.CUF wako sahihi
Serikali ya awamu ya Tano Imejaa Udini
Mfano, huwezi kuwasikia wakiongelea Tundu kupigwa risasi kwa kuwa siyo wa dini yao!!"Haki sawa na furaha kwa Watanzania" alafu hapohapo mnatetea watu kwa misingi ya udini??
Kwani rumande wapo masheikh wa uamsho peke yao?
Wanaofukuzwa kazi pasi na kufuata taratibu ni watu fulani peke yao??
Haya basi, hata kama ni hivyo ili tuweze kuushinda huu udhalimu ni vema haki ya mtu ichukuliwe kama haki ya taifa zima, pindi inapovunjwa tukemee bila kujali dini yake, kanda, kabila, chama n.k
'Divide & rule' ndo hii sasa ipo wazi, kiongozi (watawala) anavunja haki kwa misingi ya kuwatenga kidini, kikabila ili nanyi mgawanyike vivyo hivyo kudai haki.Mfano, huwezi kuwasikia wakiongelea Tundu kupigwa risasi kwa kuwa siyo wa dini yao!!