Anyisile Obheli
JF-Expert Member
- Dec 13, 2009
- 3,398
- 319
Cuf sasa ni kama lap top ya ccm bungeni itakayotumika kupitishia hoja
zake mbofu mbofu juu ya mstakabari wa taifa, kwa kweli cuf sasa hawawezi kupindua
mbele ya ccm ambayo ni kama mume wa cuf kwa sasa, maana viongozi wote wa CUF wameajiriwa na serikali ya ccm
...................................................tujadiri..................................
zake mbofu mbofu juu ya mstakabari wa taifa, kwa kweli cuf sasa hawawezi kupindua
mbele ya ccm ambayo ni kama mume wa cuf kwa sasa, maana viongozi wote wa CUF wameajiriwa na serikali ya ccm
...................................................tujadiri..................................