dosama
JF-Expert Member
- Dec 25, 2010
- 912
- 957
Hivi majuzi ktk mjutano wao mjini Pemba mara baada ya Lipumba kurudi toka USA akiwa na viongozi wote wa chama akiwemo Malim Seif, Jussa, Mtatiro nk prof huyo alijikosha kwa kuwa chama chao kinachukia ubaguzi wa aiina yoyote hasa ubaguzi wa dini, uunguja, upemba na Utanganyika kumbuka kuwa kama wiki mbili nyuma Jussa alishawabagua Watanganyika na udini wake.
Na akasisitiza ni bora wamvue mtu huyo uanachama kuliko kuwa nae nikajoji Jussa mbona wanae ikaishia kiaina aina.
Hivi majuzi mtu yule yule anakuja na hoja ya kibaguzi ya makazi na ajira kwa Watanganyika wasipate haki wakiwa Zanzibar.
Nayaamini maneno haya ya zaidi ya miaka 2000 yalisemwa MTAWATAMBUA KWA MATENDO YAO
Na akasisitiza ni bora wamvue mtu huyo uanachama kuliko kuwa nae nikajoji Jussa mbona wanae ikaishia kiaina aina.
Hivi majuzi mtu yule yule anakuja na hoja ya kibaguzi ya makazi na ajira kwa Watanganyika wasipate haki wakiwa Zanzibar.
Nayaamini maneno haya ya zaidi ya miaka 2000 yalisemwa MTAWATAMBUA KWA MATENDO YAO