Wote wanajua 'umoja ni nguvu, utengano udahifu' lakini kumbuka hulka ya mwanadamu niubinafsi na inapofikia kuungana kuna watu watapoteza mkate wao, hapo ndio utasikia wapinzani wanachomekeana kwa faida ya ccm.
Kwa wanaojua historia ya mageuzi watakumbuka harakati zilizofanyika kuunganisha upinzani na ikashindikana. Wengi wetu tunasubiri ccm ijifie yenyewe tatizo sijui kama vyama hivi wamejipanga vipi kuziba ombwe la uongozi au nchi itaishia mikononi mwa 'ma-mbwa'?
Kwa wanaojua historia ya mageuzi watakumbuka harakati zilizofanyika kuunganisha upinzani na ikashindikana. Wengi wetu tunasubiri ccm ijifie yenyewe tatizo sijui kama vyama hivi wamejipanga vipi kuziba ombwe la uongozi au nchi itaishia mikononi mwa 'ma-mbwa'?